Mke mwema huyu hapa

Mke mwema huyu hapa

Amoxline

Member
Joined
Apr 20, 2017
Posts
75
Reaction score
49
Habari zenu wana Love Connect,

Mimi binafsi nilipata mwenza nakufunga nae ndoa nilimpata hapa love connect. Hivyo kutokana na hilo nina rafiki zangu wanatafuta waume wa kuanzisha nao mahusiano na mwisho kufikia kufunga ndoa.

Labda nisiwachoshe sana, niende kwenye wasifu wao kama ifuatavyo, wapo 3 hawa mabinti;

Natumia majina ambayo siyo original.

1: Selina sifa zake;
Umri: 27
Elimu: kidato cha 6
Dini: Mkristo
Kazi: Mwajiliwa wa sector binafsi
Ana watoto wawili
Mwanaume anayetafuta miaka 30-40
Mkristo, kabila lolote

2: Happy
Umri anaemtafuta miaka 33-40
Mkristo mwenye kujitambua awe na kazi ya kumuingizia kipato
Sifa za happy
Umri: 25
Dini: Mkristo

3: Maria anaemtafuta umri25-30
Umri wa Maria miaka 38
Ana watoto wa 4 mfanyabiashara na ni mwajiliwa wa serikali.
Elimu chuokikuu

Kwa watu seriously tu njoo PM taja jina la mtu unayemuitaji nakutumia no yake kwa mawasiliano zaidi. Hawa wote wapo serious.

4: Agnes
Umri miaka 24
Anaemtafuta miaka32-40
Elimu kidato cha4
Hana mtoto.

5: Angelina miaka 35
Anaemtafuta miaka 35-45
Elimu chuo kikuu
Watoto alionao wawili.

Nawasilisha.
 
Habari zenu wana Love Connect,

Mimi binafsi nilipata mwenza nakufunga nae ndoa nilimpata hapa love connect.

Hivyo kutokana nahilo nina rafiki zangu wanatafuta waume
wa kuanzisha nao mahusiano na mwisho kufikia kufunga ndoa.

Labda nisiwachoshe sana, niende kwenye wasifu wao kama ifuatavyo;
Wapo wa3 hawa mabinti.

Natumia majina ambayo siyo original.

1:Selina sifa zake;

Umri:27
Elimu: kidato cha 6
Dini: Mkristo
Kazi: Mwajiliwa wa sector binafsi
Ana watoto wawili
Mwanaume anayetafuta miaka30-40
Mkristo kabila lolote

2:Happy
Umri anaemtafuta miaka 33-40
Mkristo mwenye kujitambua awe na kazi ya kumuingizia kipato
Sifa za happy
Umri: 25
Dini:Mkristo

3:Maria anaemtafuta umri25-30
Umri wa Maria miaka 38
Ana watoto wa 4 mfanyabiashara na ni mwajiliwa wa serikali.
Elimu chuokikuu

Kwa watu seriously tu njoo pm taja jina la mtu unayemuitaji nakutumia no yake kwa mawasiliano zaidi.
Hawa wote waposeriosly.

4:Agnes
Umri miaka 24
Anaemtafuta miaka32-40
Elimu kidato cha4
Hana mtoto.

5:Angelina miaka 35
Anaemtafuta miaka 35-45
Elimu chuo kikuu
Watoto alionao wawili.



Nawasilisha.
Ni PM
Habari zenu wana Love Connect,

Mimi binafsi nilipata mwenza nakufunga nae ndoa nilimpata hapa love connect.

Hivyo kutokana nahilo nina rafiki zangu wanatafuta waume
wa kuanzisha nao mahusiano na mwisho kufikia kufunga ndoa.

Labda nisiwachoshe sana, niende kwenye wasifu wao kama ifuatavyo;
Wapo wa3 hawa mabinti.

Natumia majina ambayo siyo original.

1:Selina sifa zake;

Umri:27
Elimu: kidato cha 6
Dini: Mkristo
Kazi: Mwajiliwa wa sector binafsi
Ana watoto wawili
Mwanaume anayetafuta miaka30-40
Mkristo kabila lolote

2:Happy
Umri anaemtafuta miaka 33-40
Mkristo mwenye kujitambua awe na kazi ya kumuingizia kipato
Sifa za happy
Umri: 25
Dini:Mkristo

3:Maria anaemtafuta umri25-30
Umri wa Maria miaka 38
Ana watoto wa 4 mfanyabiashara na ni mwajiliwa wa serikali.
Elimu chuokikuu

Kwa watu seriously tu njoo pm taja jina la mtu unayemuitaji nakutumia no yake kwa mawasiliano zaidi.
Hawa wote waposeriosly.

4:Agnes
Umri miaka 24
Anaemtafuta miaka32-40
Elimu kidato cha4
Hana mtoto.

5:Angelina miaka 35
Anaemtafuta miaka 35-45
Elimu chuo kikuu
Watoto alionao wawili.



Nawasilisha.
N 4 agness
 
Habari zenu wana Love Connect,

Mimi binafsi nilipata mwenza nakufunga nae ndoa nilimpata hapa love connect.

Hivyo kutokana nahilo nina rafiki zangu wanatafuta waume
wa kuanzisha nao mahusiano na mwisho kufikia kufunga ndoa.

Labda nisiwachoshe sana, niende kwenye wasifu wao kama ifuatavyo;
Wapo wa3 hawa mabinti.

Natumia majina ambayo siyo original.

1:Selina sifa zake;

Umri:27
Elimu: kidato cha 6
Dini: Mkristo
Kazi: Mwajiliwa wa sector binafsi
Ana watoto wawili
Mwanaume anayetafuta miaka30-40
Mkristo kabila lolote

2:Happy
Umri anaemtafuta miaka 33-40
Mkristo mwenye kujitambua awe na kazi ya kumuingizia kipato
Sifa za happy
Umri: 25
Dini:Mkristo

3:Maria anaemtafuta umri25-30
Umri wa Maria miaka 38
Ana watoto wa 4 mfanyabiashara na ni mwajiliwa wa serikali.
Elimu chuokikuu

Kwa watu seriously tu njoo pm taja jina la mtu unayemuitaji nakutumia no yake kwa mawasiliano zaidi.
Hawa wote waposeriosly.

4:Agnes
Umri miaka 24
Anaemtafuta miaka32-40
Elimu kidato cha4
Hana mtoto.

5:Angelina miaka 35
Anaemtafuta miaka 35-45
Elimu chuo kikuu
Watoto alionao wawili.



Nawasilisha.
OK...wait
 
Habari za kutubebesha misalaba isiyo yetu au damu za watu wengine nawaomba muache kbs !! Yaani umezaa lakini kwa sasa unataka uolewe !!huyo aliyekutia ujauzito ukazaa naomba mshikamane nae, maana nasi tuna roho kweli yaani kuoa mke wa mtu mwingine dooh labda kwa wanaume waliofiwa na wake zao ndiyo wanaweza fanya hivyo .. maana kamekuwa katabia
 
USHAURI WA BURE....kabla hujaenda huko Pm jarbu kupitia thread zako kwanza
 
Back
Top Bottom