JAMANI MIMI SITANII NIKO SERIOUS NATAFUTA MCHUMBA WA KUOA MKRISTO,UMRI 22-28,UMRI WANGU NI MIAKA 28 AWE MKWELI MSAFI ASIWE NA MTOTO(MIMI SINA),UMBO LA KAWAIDA ELIMU YEYOTE KABILA LOLOTE RANGI YEYOTE TUWASILIANE KUPITIA (mshanaemanuel@yahoo.com)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mke mwema hapatikani sokoni ,mke mwema huletwa na MUNGU
mazingira ndio yanawakutanisha lakini mke mwema haptikani kwakutangaza kama unataka kununua nyanya ndio maana hakuna soko la wake wema,MUNGU anatengeneza mazingira ambayo utakutana na mke mwema.kwa staili hii lazima upate kimeo.Wakati nasoma Katekisimu nilifundishwa kuwa "Mungu yupo mahali Pote".
Na sidhani kuwa Mungu atamshika mke mkono na kukuletea, so muache kutumia verses ambazo hamjui maana yake kudiscourage wenzenu.
JAMANI MIMI SITANII NIKO SERIOUS NATAFUTA MCHUMBA WA KUOA MKRISTO,UMRI 22-28,UMRI WANGU NI MIAKA 28 AWE MKWELI MSAFI ASIWE NA MTOTO(MIMI SINA),UMBO LA KAWAIDA ELIMU YEYOTE KABILA LOLOTE RANGI YEYOTE TUWASILIANE KUPITIA (mshanaemanuel@yahoo.com)
JAMANI MIMI SITANII NIKO SERIOUS NATAFUTA MCHUMBA WA KUOA MKRISTO,UMRI 22-28,UMRI WANGU NI MIAKA 28 AWE MKWELI MSAFI ASIWE NA MTOTO(MIMI SINA),UMBO LA KAWAIDA ELIMU YEYOTE KABILA LOLOTE RANGI YEYOTE TUWASILIANE KUPITIA (mshanaemanuel@yahoo.com)
Kama umeshindwa kumpata huyo mke mwema huko mtaani na maofisini unaposhinda nao ndo utampata humu mkuu? Yani mke anatolewa tangazo mtandaoni kama vile zabuni?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
nadhani haikuhusu hivyo piga kimya