EMMANUEL JASIRI
Senior Member
- Feb 2, 2015
- 150
- 84
Vigezo;
1. Miaka 30 Mpaka 41
2. Amezaliwa Mara ya Pili.
3. Amejazwa Roho Mtakatifu.
4. Amebatizwa Maji Mengi.
5. Anaipenda na Kukubali Huduma ya Boniface Mwamposa Pamoja na Mitume na Manabii Wote Wenye Makanisa.
5. Aliye Tayari kuwa Mama Mchungaji.
6. Aliye Tayari kuishi mazingira Yoyote akiambatana na mumewe
7. Aliyezaliwa Kati ya tarehe 8/10/11/16/19
Mwezi wa 6 ,10,na Mwezi wa 12 Katika tarehe hizo tu.
Au Tarehe 26,29 na 31 katika Mwezi wa 5,9 na 11.
8. Mwenye Jina Linalo anza na herufi zifuatazo;
A,b,m,r,s,e,I,q,w,c,o
9. Mcha MUNGU Mwenye uwezo wa kusamehe
10. Mwana maombi
11. Asiwe msengenyaji.
12. Awe Tayari kuishi Arusha na Kenya.
13. Asiwe tegemezi kwa 100%
14. Awe Tayari kuwa interview.
15. Anayependa sana NENO la MUNGU.
16. Mpenzi wa Kusoma Vitabu Vya Kiroho na Vya kuelimisha kuhusu Maisha.
Muoaji akiridhishwa Ndoa ni haraka sana.
Kwa Mawasiliano zaidi;
Tuma ujumbe kwenda
Email: emmanuelpaul2050@gmail.com
Au Weka Namba Yako ya WhatsApp,
Muoaji Atawasiliana Nawe kwa haraka.
Wenye vigezo Hivyo nyote mnakaribishwa.
Mrejesho: Mke mwenye sifa 16 anahitajika haraka
1. Miaka 30 Mpaka 41
2. Amezaliwa Mara ya Pili.
3. Amejazwa Roho Mtakatifu.
4. Amebatizwa Maji Mengi.
5. Anaipenda na Kukubali Huduma ya Boniface Mwamposa Pamoja na Mitume na Manabii Wote Wenye Makanisa.
5. Aliye Tayari kuwa Mama Mchungaji.
6. Aliye Tayari kuishi mazingira Yoyote akiambatana na mumewe
7. Aliyezaliwa Kati ya tarehe 8/10/11/16/19
Mwezi wa 6 ,10,na Mwezi wa 12 Katika tarehe hizo tu.
Au Tarehe 26,29 na 31 katika Mwezi wa 5,9 na 11.
8. Mwenye Jina Linalo anza na herufi zifuatazo;
A,b,m,r,s,e,I,q,w,c,o
9. Mcha MUNGU Mwenye uwezo wa kusamehe
10. Mwana maombi
11. Asiwe msengenyaji.
12. Awe Tayari kuishi Arusha na Kenya.
13. Asiwe tegemezi kwa 100%
14. Awe Tayari kuwa interview.
15. Anayependa sana NENO la MUNGU.
16. Mpenzi wa Kusoma Vitabu Vya Kiroho na Vya kuelimisha kuhusu Maisha.
Muoaji akiridhishwa Ndoa ni haraka sana.
Kwa Mawasiliano zaidi;
Tuma ujumbe kwenda
Email: emmanuelpaul2050@gmail.com
Au Weka Namba Yako ya WhatsApp,
Muoaji Atawasiliana Nawe kwa haraka.
Wenye vigezo Hivyo nyote mnakaribishwa.
Mrejesho: Mke mwenye sifa 16 anahitajika haraka