Kazi yangu biashara ndogo ndogo
Kipato kwa mwezi ni 150,000 ,tukiungana kitaweza ongezeka
Umri wangu miaka 35
Sina mtoto na sijaoa
Mrefu wa wastani na mwembamba
Sifa za mke
Awe 25 yrs na kuendelea
Asiwe single Mother
Rangi yoyote zaidi zaidi mweusi
Elimu isizidi diploma
Mwalimu atapewa kipaumbele ila sio lazima awe ameajiriwa au kuwa na taaluma
Kabila lolote
Nawasilisha
Hahahahah stressa zake hapo sio kubwa sanaUnapata single maza anasababishq kipato kiwe milioni kwa mwez bado utakataa[emoji23]
Sio haba. Kuna wenye vipato vya mamilioni na bado wanapanga apartments ghali bila kumiliki hata kiwanja cha 20x20.Kiwanja tu mkuu
sasa atafute vp mtoto bila mke? unamaanisha amzalishe mwanamke wa watu kisha muanze kumuimba single maza kazalishwa bila ndoa. kama umeafiki mpe dada yako kama sampuli.Umri wako vs assets zako na kipato chako haviendani,Tafuta hela Nà Watoto kwanza Achana na mke
Nakupenda pia 🥰🥰Nakupenda
hasibu kwanini munapendana chukuchuku? hayo ni matumizi mabaya.Nakupenda pia 🥰🥰
Walimu ni wanawake watiifu sana, wavumilivu, hawana mambo mengiSamahani kwa usumbufu, kwanini mwalimu?
Dah!...hili swali usiulize wewe.Ukiachana na kipato cha 150,000 kwa mwezi unamiliki assets za bei gani?
Mm naamini wee una pesa 1.5m ndfdio maokoto yako hyoKazi yangu biashara ndogo ndogo
Kipato kwa mwezi ni 150,000 ,tukiungana kitaweza ongezeka
Umri wangu miaka 35
Sina mtoto na sijaoa
Mrefu wa wastani na mwembamba
Sifa za mke
Awe 25 yrs na kuendelea
Asiwe single Mother
Rangi yoyote zaidi zaidi mweusi
Elimu isizidi diploma
Mwalimu atapewa kipaumbele ila sio lazima awe ameajiriwa au kuwa na taaluma
Kabila lolote
Nawasilisha
Wanaweza kukaa na wajinga bila shida, wee fikiria darasa lina wanafunzi 200, wajinga 100 na anakaa nao vizuri hadi wanamaliza shule.Samahani kwa usumbufu, kwanini mwalimu?
Usimention tena walimu,umenielewa mkaka mzuri?Nakupenda pia 🥰🥰
ShukraniKila la kheri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daaaaaKipato chako ni 150,000 kweli wataka kuoa, kuna watu wana vichaa sio bure, utajinyonga bure acha kujitafutia matatuza mtakula nini?
That is a trick maana yake mwanamke msaka pesa hapo hawezi kwenda. Najua mwenye akili ashaona hapo. Jamaa ana zaidi ya hiyo kwa mwezi sema kaweka hiyo kama chujio.I still don't understand kwanin watu wengi wanasema jamaa kazingua, kuweka kipato chake hadharani..
Wats wrong with that?
Mwenye uelewa anieleweshe
Ila nyinyi mwach mwenzio anyakue jikoUkiachana na kipato cha 150,000 kwa mwezi unamiliki assets za bei gani?
Hivi bado kuna watu wanatumia fbSasa hivi Kila Mwanaume fb na insta anataka mwanamke mweusi [emoji3][emoji3][emoji3]