Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,151
ukiokota mwanamke kwenye dansi la msondo ngoma ndo matokeo yake
Sio kweli, U can still get her in the church tena a leading vocalist in church choir, and yet akawa the most kicheche u have ever seen. Mke mwizi!!!!!! Jamani hili si janga la kitaifa! Kwa ujumla mke anayekuibia she doesnt trust you! and probably she does not love you neither! So changanya na za kwako!
Ndugu yangu amekuja kuomba ushauri, mke wake ni mwizi, anamwibia pesa kila kukicha. Nguo zake pia huibiwa na mama watoto huyo.
Kibaya zaidi kilichomsikitisha ndugu yangu ni kuibiwa kwa mifuko ya saruji na mabati waliyotaka kuyapeleka saiti.
Mke huyo kila upotevu unapotikea, akiulizwa hajibu kitu zaidi ya kulia.
Jamaa anajiuliza amuache, awajulishe wazazi, ama ampeleke kwa wana saikoloji?
Tumshauri huyu mwenzetu nini afanye
Ana uhakika gani mke anaiba?unajua kuna mapepo yanatumwa kwa ajili ya kuharibu ndoa na ndo yanaweza yakawa yanaiba yeye anadhani mkewe,imeshatokea kwa ndugu yangu kabisa anaweka hela usiku asubuhi hamna na wako wawili tu,maombi yaliwaokoa na pengne mke analia coz haamini mume wake anaweza kumdhania mwizi?wakae pamoja waongee wajue tatizo,mi coni kwa nn mkeo aibie au haachi hela ya matumizi?
kuna wifi yangu naye alikuwa mwizi kweli, anaiba nguo za mamuwe anapelekea wadogo zake.
Kuna Xmas moja yeye na mumewe wakaenda kijijini kwa wazazi wa mwanamke. Wakakuta hizo nguo zimevaliwa, pia mwanamke alikuwa ameiba tv na kuihamishia huko kwao, yaani aliona aibu sana, akawa mnyonge hadi wazazi wake wakahoji sababu za unyonge huo, akawa mkweli akasema nimeumbuka leo, nilimdanganya mume wangu kuwa hivi vitu viliibiwa akiwa safari.
Wazee wakamuombea msamaha.
Mwanamke kuwa mwizi tabia mbaya sana kha?!
<br />So what??? Mwanaume akiwa mwivi ni tabia nzuri sana....do u mean that???
<br />
<br />
Nilijua tu lazima uniquote.
<br />Hahaa, Dena bana!!Juzi umekataza Sredi zenye jina lako zikomeshwe,leo tena unakataza kuku-qoute...ngoja nisubirie la kesho...hope utasema tusisome comment zako!!teeheteheee
<br />Haya wasalam pande za Kenya huko...