mimi nimeelewana na mama mkwe huwezi amini tena alishajua ili apate kitu kwa haraka anapitia kwangu yule mama nilimpenda tulikuwa zaidi ya rafiki bahati mbaya amefariki mungu amlaze mahala pema peponi
Mbona akina baba hawakorofishani na baba wakwe zao, Ni akina mama tu. Hawa vipi!!. Ukweli ni kwamba ugomvi wa hawa watu wawili unakera sana, hata mwanaume ukijifanya una haki gani basi upande wa pili utakuwa shida tu, Wakati mwingine bora kukaa kimya uwaache wapambane. Suala ni kwanini lazima iwe hivi. Mke anasahau kabisa wajibu wa kumuona mama mkwe wake kama mama yake na mama mkwe naye anashindwa kumuona mkwe wake kama mwanae.
mh kweli hili ni tatizo jaman! hata mm linanisibu...mimi namchukulia km mama angu alienizaa lkn yeye ananichukulia tofauti kabisa da! vituko vituko vituko tele vinavyotokea baina yetu! inaniuma sana hiki kitu! mama mkwe km mke mwenzangu lol
Mbona akina baba hawakorofishani na baba wakwe zao, Ni akina mama tu. Hawa vipi!!. Ukweli ni kwamba ugomvi wa hawa watu wawili unakera sana, hata mwanaume ukijifanya una haki gani basi upande wa pili utakuwa shida tu, Wakati mwingine bora kukaa kimya uwaache wapambane. Suala ni kwanini lazima iwe hivi. Mke anasahau kabisa wajibu wa kumuona mama mkwe wake kama mama yake na mama mkwe naye anashindwa kumuona mkwe wake kama mwanae.
mimi nimeelewana na mama mkwe huwezi amini tena alishajua ili apate kitu kwa haraka anapitia kwangu yule mama nilimpenda tulikuwa zaidi ya rafiki bahati mbaya amefariki mungu amlaze mahala pema peponi