Dogoli kinyamkela
JF-Expert Member
- Nov 21, 2024
- 618
- 1,440
Ng'ombe dume, ndio chanzo cha yoteMke na mume walitembelea shamba la kilimo. Wakamuona ng'ombe dume akishiriki tendo la ndoa na ng'ombe jike.
View attachment 3210502
Mke akamuuliza meneja wa shamba:
"Mara ngapi ng'ombe dume huingia katika tendo la ndoa kwa siku?"
Meneja akajibu: "Mara 6 au zaidi kwa siku."
Mke: akamtazama mumewe na kusema....."umesikia!!!"
Kisha mume akamuuliza meneja: "Unamaanisha mara 6 kwa siku na ng'ombe jike yule yule?"
Meneja akasema, "Hapana, Hapana, na ng'ombe jike tofauti kila siku."
Mume akamtazama mkewe na kusema, "umesikia?!!!"
Ugomvi zikaanza!!!
Unadhani ni nani chanzo cha ugomvi huo na kwanini?!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Chanzo ni Ng'ombe.Mke na mume walitembelea shamba la kilimo. Wakamuona ng'ombe dume akishiriki tendo la ndoa na ng'ombe jike.
View attachment 3210502
Mke akamuuliza meneja wa shamba:
"Mara ngapi ng'ombe dume huingia katika tendo la ndoa kwa siku?"
Meneja akajibu: "Mara 6 au zaidi kwa siku."
Mke: akamtazama mumewe na kusema....."umesikia!!!"
Kisha mume akamuuliza meneja: "Unamaanisha mara 6 kwa siku na ng'ombe jike yule yule?"
Meneja akasema, "Hapana, Hapana, na ng'ombe jike tofauti kila siku."
Mume akamtazama mkewe na kusema, "umesikia?!!!"
Ugomvi zikaanza!!!
Unadhani ni nani chanzo cha ugomvi huo na kwanini?!
π€£π€£π€£
Mkuu unajua vitu vizuri hakika.Sema huyo demu mzuri aseee uongo mbaya
Halafu anaonekana ana bonge la tako tungepata muonekano kwa nyuma ingekuwa poa.Sema huyo demu mzuri aseee uongo mbaya
Kwanza umekosea, ng'ombe hashiriki tendo la ndoa kwani yeye haoi ila yeye upanda majike akishikwa na nyege tu.Mke na mume walitembelea shamba la kilimo. Wakamuona ng'ombe dume akishiriki tendo la ndoa na ng'ombe jike.
View attachment 3210502
Mke akamuuliza meneja wa shamba:
"Mara ngapi ng'ombe dume huingia katika tendo la ndoa kwa siku?"
Meneja akajibu: "Mara 6 au zaidi kwa siku."
Mke: akamtazama mumewe na kusema....."umesikia!!!"
Kisha mume akamuuliza meneja: "Unamaanisha mara 6 kwa siku na ng'ombe jike yule yule?"
Meneja akasema, "Hapana, Hapana, na ng'ombe jike tofauti kila siku."
Mume akamtazama mkewe na kusema, "umesikia?!!!"
Ugomvi zikaanza!!!
Unadhani ni nani chanzo cha ugomvi huo na kwanini?!
π€£π€£π€£
Akili mingi sana ππΎChanzo ni ng'ombe
Mchochezi mke kwa kukifanya anauliza swali
Au sio πππDogoli umetisha π
Naam mkuuu ni hatari mzee unakua unakojolea pazuriMkuu unajua vitu vizuri hakika.
NaamHalafu anaonekana ana bonge la tako tungepata muonekano kwa nyuma ingekuwa poa.
Mke na mume walitembelea shamba la kilimo. Wakamuona ng'ombe dume akishiriki tendo la ndoa na ng'ombe jike.
View attachment 3210502
Mke akamuuliza meneja wa shamba:
"Mara ngapi ng'ombe dume huingia katika tendo la ndoa kwa siku?"
Meneja akajibu: "Mara 6 au zaidi kwa siku."
Mke: akamtazama mumewe na kusema....."umesikia!!!"
Kisha mume akamuuliza meneja: "Unamaanisha mara 6 kwa siku na ng'ombe jike yule yule?"
Meneja akasema, "Hapana, Hapana, na ng'ombe jike tofauti kila siku."
Mume akamtazama mkewe na kusema, "umesikia?!!!"
Ugomvi zikaanza!!!
Unadhani ni nani chanzo cha ugomvi huo na kwanini?!
π€£π€£π€£