Mke toka Uganda kuja Tanzania

Mke toka Uganda kuja Tanzania

Baba Nia

Member
Joined
Sep 26, 2021
Posts
78
Reaction score
73
Safari yangu ya kuelekea Uganda imekaribia na licha ya kujifunza humu kuwa kuna fursa nzuri ya biashara kule nimeona nikatafute mke mwema huko nirejee naye Tz niagane na ubachela.

Si kwamba kwetu sijaona, la hasha nataka! Kuchanganya damu. Wataalam kuna shida ya kuvusha mke mpakani au nikioa si automatically anakua mtz.

Tueleweshane nivute jiko wakuu, seriously
 
Safari yangu ya kuelekea Uganda imekaribia na licha ya kujifunza humu kuwa kuna fursa nzuri ya biashara kule nimeona nikatafte mke mwema huko nirejee naye Tz niagane na ubachela,Sikwamba kwetu sijaona lahasha nataka kuchanganya damu.....Wataalam kuna shida ya kuvusha mke mpakani? au nikioa si automatically anakua mtz....tueleweshane nivute jiko wakuu seriously
Waganda ni wakarimu sana,sema ni watu wanaopenda kuishi kwao,....kuhusu kuvuka mpakani,haina shida as long as ana Valid Uganda Passport,yellow fever card na covid-19 Vaccine card.
 
Waganda ni wakarimu sana,sema ni watu wanaopenda kuishi kwao,....kuhusu kuvuka mpakani,haina shida as long as ana Valid Uganda Passport,yellow fever card na covid-19 Vaccine card.
Nimekupata vema mkuu,Hizi documents zinahitajika zote ninapovuka mpaka pia?
 
Ila demu lenyewe bayaa sasa ila lipo vyedi ana kazi nzuri, kaenda shule ..so huenda akani zalia watoto waerevu
Kikubwa tunaangalia utulivu na future mademu wengi wazuri ndio maslay queen wa one night stand
 
Dah....yaani mnachanganya damu na Waganda? ....dah 😳
 
Safari yangu ya kuelekea Uganda imekaribia na licha ya kujifunza humu kuwa kuna fursa nzuri ya biashara kule nimeona nikatafte mke mwema huko nirejee naye Tz niagane na ubachela,Sikwamba kwetu sijaona lahasha nataka kuchanganya damu.....Wataalam kuna shida ya kuvusha mke mpakani? au nikioa si automatically anakua mtz....tueleweshane nivute jiko wakuu seriously
Wana maji hao 😀 😀 😀 😀 😀
Angalizoo, sio ya kunywaaaaa
 
Back
Top Bottom