Mke uliyenae ungekuwa sasa unamchumbia ungemuoa??

Preta taratibu
Pdidy hakuna kitu kama hicho sijui kuletewa na shangazi sijui mama au nani sijui
TF huna uhakika au nini
Eiyer mhhh sijui
Kwa upande wangu sijaregreat na wala siwezi kujuta hata bnaada ya miaka kumi au ishirini ijayo
Bado ana nafasi na wala siwezi kusema sikustahili kumuoa huyu
Nikiangalia wale niliokuwa nao miaka hiyo naona hakuna ambaye anadeserve nafasi ya kuwa wife kama huyu niliye nae. She is perfect wife to me
 
Nimefurahi sana kuona comment hii asubuhi
 
lol,pdiddy unataka wenzio wafichue siri kama wameshaoa afu kwenye pm mambo yaweje? hapa hakuna ushabiki,ungeweka option ya mke/gf aaah,hapo ungeshapata page 10. mtihani mgumu,na ulisha-leak,mgomo ndo unafuata!
 
yaani tofauti na kipindi kile namuoa kulikuwa na washindani wanne,ingetokea kwa sasa hivi asingekuwa na mpinzani,angepita bila kizuizi, after miaka kumi kuwa naye anazidi kuwa mpya kila siku,God bless her! pamoja na mapungufu ya kawaida ya kibinaadam ni yeye pekee ambaye sijawahi kumchoka
 
Ni Mamaa Moria tuu! katu, asilani siwezi fanya uchaguzi mwengine..p'didy sante kwa mada fundishi..'Na WIVU utakuwa juu ya mumewe naye atamtawala'...mw'ke 18-90yrs ndani kabisa (udadisi/wasiwasi/hisia) anafikiria kunyang'anywa (mume),kutendwa,kuachwa nk.(soma Sara vs Hajir)...siku hizi mamaa Moria hasomi magazeti-udaku,kisaa yanamuharibia siku yake..Pdidy kutendwa limekuwa jambo linalopigiwa debe pasina uhalisia wwte (media inayumba na hisia kike!?)..vinginevyo ndoa ni saafi..check wanandoa tz wanavyofurahi/nawiri..na kuiacha media nk..na fitina (zushi!?) za ndoa sasa eti ni mtego/ndoano..mmh!.
 

mkuu nakupoa fantastic iddi mubarak na my shemeji ungekuwa unakula ngoooooo ngrrrrrrroooo nakukaribisha pale kwa kakobe kwenye kagorofa cha kilele cha ngroooooooo ngrooooooo wale wanaoliwa usiku tuu
ndio maana anabaki kuitwa "your wife""na wengine w,h,x gfriends""
 
Duh nimecheka sana na hili swali ahahahaaaaa, kwa ukweli kaka zetu wanaogopa kujibu kwa wingi thou tunashukuru kwa waliojibu, but hakuna humu atakaesema asingemuoa ila lazima watakuwa wengi sana tu
 
Nina uhakika wa 100% maandishi haya hayajaandikwa na Pdidy ninaemfahamu mimi hapa JF, i can bet one million dollars.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…