Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
kaona mbali ππHuyu jamaa asingejiongeza, muda huu angekuwa amelazwa hospitali ya wagonjwa wa moyo, kwa sababu ya tatizo la presha kupanda kupitiliza.
Kuna ile mechi iliisha, alibak kwenye benchi, kawaza kama dk 10 hivi. Akaamka, akaangalia uwanja, viti kama dakika zingine 10 huku anatingisha kichwa akitia huruma mno.Huyu jamaa asingejiongeza, muda huu angekuwa amelazwa hospitali ya wagonjwa wa moyo, kwa sababu ya tatizo la presha kupanda kupitiliza.
after the match akapata training ya algeria πππKuna ile mechi iliisha, alibak kwenye benchi, kawaza kama dk 10 hivi. Akaamka, akaangalia uwanja, viti kama dakika zingine 10 huku anatingisha kichwa akitia huruma mno.
soon after simba kuona aifundishikiIlitakiwa augue kwa Muda gani mkuu?
Kuna ile mechi iliisha, alibak kwenye benchi, kawaza kama dk 10 hivi. Akaamka, akaangalia uwanja, viti kama dakika zingine 10 huku anatingisha kichwa akitia huruma mno.