Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
No, wapo wengi sana wanaoa weusi wenzao, pia wapo wazungu wanaoa weusi pia, sijui nongwa ya Nini..Mkiambiwa oeni wamatumbi wenzenu hamtaki.ndo hayo sasa kama yule mchezaji wa zamani wa arsenal Emanuel eboue..
Haya mablack American yanajikutaga mazungu acha yapigwe pesa na wenye nchi yao..
Sio ajabu tushishangae nigga akachunwa everything mpka kijiko
HATA HUYO BWANA ANGEKUWA KABWELA NA MWANAMKE ANGEKUWA MWENYE MALI PIA ZINGEGAWANYWA SAWA KWA SAWANdipo hapa ninapowapinga waliberali.....
Jamani hebu TUWEKE HISIA za haki za kina mama pembeni.....
Yaani MWANAUME anahangaika toka ujana wake...ikumbukwe mpaka kuhangaika huko kafinyangwa na wazazi wake....halafu mke atakapo talaka basi HALF OF THE FORTUNE goes kwa mwanamke....
Huku ile half awatunze wanae,awasomeshe,awasaidie wazazi wake km wapo,ajipange tena kimaisha.Kumbuka Dre ni mwafrika...hata km Yuko kwa weupe bado zile Mila za UJAMAA WA KIFEMILI hauishi damuni mwetu.......
Msinifikirie vibaya ila nashangaa sioni ikipigwa pasu kwa pasu kwa wake matajiri pale wanapotalikiana na waume zao.....kwani wake matajiri hawapo?!!!
SERA NYINGI ZA KILIBERALI ZIMEUNDWA KWA AJILI YA MFUMO WA WATU WEUPE huku zikipigia chapuo FEMINISM....
Kiukweli sera HIZI zinaumiza Sana hasa kwa sisi waafrika na wasio wamagharibi.
Jamani KUTAFUTA Mali ndio kugumu kuliko yote DUNIANI...we huoni mpaka baadhi ya wenzetu huwa "mabaradhuli" wakaendewa na wanaume jamili zao.
We huoni mpaka watu wanamkana muumba wetu na kufanya makafara ya damu za vipenzi vyao ili mradi tu wapate MALI...
Yaani mi nadhani huko kwa kina Drake HAKUNA makafara ya kuwafanya ndondocha watoto,waume,wake na wazazi wao.
KWANI
Yangekuwepo hayo nadhani wasingeweka vipengele vyenye kupendelea WAKE ZETU.....
Yaani mi nnavyohangaikia vitoto vyangu halafu siku mwenzangu atake talaka na atake PASU KWA PASU yangu kisa ANANIPIKIA KISA ANANIPA USINGIZI KISA ANANIFULIA MASHATI yangu Yale ya kampeni za CCM na zile kanzu ZANGU ninazokwendea kula biriani katika hafla TOFAUTI....
Yaani wallahi nampandia boti CHOKOCHO Pemba,Bweni TANGA,Kasulu Kigoma kumtafutia KIJINI MAKATA cha laki 5😂😂😂
Fitfte Hana mke Ni chapa ilale nahisi atakuwa anamla lala mke wa Carmelo AnthonyKim Kardashian hataki talaka au ? [emoji23][emoji23][emoji23] Hivi 50 cent ana mke?
Hizi mbweha Dr Umar Johnson anazionya kutwa kuhusu kukimbilia kuoa hivi vibibi vya kizungu lakini hazielewi.Dre punguani sana aiseee
Linaenda kuoa white women!
Suge alishasema Dre wanted so bad to be a whiteman,Suge kamwambia,huwezi kua,labda wanao wanaweza kua kwa asilimia fulani iwapo utaoa mwanamke mweupe...
The nigga did that shit!
Plus this weak ass nigga stole this white broad from another stupid monkey nigga NBA baller Sedale Threatt,another black color hating monkey nigga!
Sedale Threatt was so stupid kiasi kwamba he fathered more than 14 kids around!
Dre,such a loser!
Shit mama Yao Ni mzuri kuliko wanae Yuko sexy sana ila amekaa kutafuta pesa tu yaani anaspidi ya kuzisaka uzeeni ana wa exploit wanae kichizi[emoji1787][emoji1787]Kar
Kardashians wao wako na swagger za kimkakati...mwangalie mama yao...dude it's deep down their chromosomal nuclear strands[emoji23][emoji23]
Ni fundisho Tosha mi Hadi leo Niko 30's lakini sijiona Kama naweza Oa yaani Sina Imani na mambo ya ndoaYaah Kuna life kidume ukiwa nalo hupaswi kuoa wewe n kuzaa na kula Bata Kama Didy, 50 cent au Floyd Maywether
Si unakumbuka eboue alichofanywa na Mke wake mpaka kuanza kulala mitaani.
Afrika hiyo ndio Kuna chotara mkuu Marekani wote weusi ndio maana Obama sio ni Rais mweusi wa kwanza Marekani sio chotaraMaria Carey Ni chotara she ain't a white babake Ni black kabisa mama ndio mzungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo hapoShit mama Yao Ni mzuri kuliko wanae Yuko sexy sana ila amekaa kutafuta pesa tu yaani anaspidi ya kuzisaka uzeeni ana wa exploit wanae kichizi[emoji1787][emoji1787]
Halafu analiwa na mchizi mdogo tu .
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahah hata Mimi Nina dreams za kuipooza hii rangi yangu nyeusi ""tiii" niliyonayo kwa mzungu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo mm ndio nashangaa wanaachama uzeeni wanaenda wapi?Imagine mnaishi miaka 24 halafu mnaachana
Mbona hata kwa wanawake hii hutokea? Unafahamu Adele? Ndoa yake ilivunjika na akagawa Mali nusu kwa mumeweNdipo hapa ninapowapinga waliberali.....
Jamani hebu TUWEKE HISIA za haki za kina mama pembeni.....
Yaani MWANAUME anahangaika toka ujana wake...ikumbukwe mpaka kuhangaika huko kafinyangwa na wazazi wake....halafu mke atakapo talaka basi HALF OF THE FORTUNE goes kwa mwanamke....
Huku ile half awatunze wanae,awasomeshe,awasaidie wazazi wake km wapo,ajipange tena kimaisha.Kumbuka Dre ni mwafrika...hata km Yuko kwa weupe bado zile Mila za UJAMAA WA KIFEMILI hauishi damuni mwetu.......
Msinifikirie vibaya ila nashangaa sioni ikipigwa pasu kwa pasu kwa wake matajiri pale wanapotalikiana na waume zao.....kwani wake matajiri hawapo?!!!
SERA NYINGI ZA KILIBERALI ZIMEUNDWA KWA AJILI YA MFUMO WA WATU WEUPE huku zikipigia chapuo FEMINISM....
Kiukweli sera HIZI zinaumiza Sana hasa kwa sisi waafrika na wasio wamagharibi.
Jamani KUTAFUTA Mali ndio kugumu kuliko yote DUNIANI...we huoni mpaka baadhi ya wenzetu huwa "mabaradhuli" wakaendewa na wanaume jamili zao.
We huoni mpaka watu wanamkana muumba wetu na kufanya makafara ya damu za vipenzi vyao ili mradi tu wapate MALI...
Yaani mi nadhani huko kwa kina Drake HAKUNA makafara ya kuwafanya ndondocha watoto,waume,wake na wazazi wao.
KWANI
Yangekuwepo hayo nadhani wasingeweka vipengele vyenye kupendelea WAKE ZETU.....
Yaani mi nnavyohangaikia vitoto vyangu halafu siku mwenzangu atake talaka na atake PASU KWA PASU yangu kisa ANANIPIKIA KISA ANANIPA USINGIZI KISA ANANIFULIA MASHATI yangu Yale ya kampeni za CCM na zile kanzu ZANGU ninazokwendea kula biriani katika hafla TOFAUTI....
Yaani wallahi nampandia boti CHOKOCHO Pemba,Bweni TANGA,Kasulu Kigoma kumtafutia KIJINI MAKATA cha laki 5[emoji23][emoji23][emoji23]
Simpson alikuwa reckless mwenyewekwa U.S ukishakuwa multi millionaire ni risk sana kuoa.unaikumbuka ile case ya Simpson
Tuko wengi sana ,[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahahaha kumbe mpo wengi
Hawa si walishaacha namuona kimora Lee ana kibabu Cha kizungu
[emoji122][emoji122][emoji122]TIME IS MONEY!
ULE MUDA ALIOKUWA ANAUTUMIA KUMUHUDUMIA NA KUITUNZA FAMILIA THAMANI YAKE NI SAWA NA NUSU YA MALI ALIZOCHUMA MWANAUME AKIWA KAZINI!
JIULIZE
WEWE UNGEKUBALI KUONA DADA YAKO AU MTOTO WAKO WA KIKE AKITOKA MIKONO MITUPU KWA MWANAUME ALIMKUTA ANALALA CHINI!?
MAISHA BILA UNAFKI HAYAENDI!
Fitfte Hana mke Ni chapa ilale nahisi atakuwa anamla lala mke wa Carmelo Anthony
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna nafasi kubwa sana ya kufanikiwa kimaisha ukiwa umeoa kuliko ukiwa bachela ikiwa utampata anayejua maana ya ndoa na nafasi yake kama mwanamke ndani ya nyumba!Ni fundisho Tosha mi Hadi leo Niko 30's lakini sijiona Kama naweza Oa yaani Sina Imani na mambo ya ndoa
Sent using Jamii Forums mobile app
TIME IS MONEY!
ULE MUDA ALIOKUWA ANAUTUMIA KUMUHUDUMIA NA KUITUNZA FAMILIA THAMANI YAKE NI SAWA NA NUSU YA MALI ALIZOCHUMA MWANAUME AKIWA KAZINI!
JIULIZE
WEWE UNGEKUBALI KUONA DADA YAKO AU MTOTO WAKO WA KIKE AKITOKA MIKONO MITUPU KWA MWANAUME ALIMKUTA ANALALA CHINI!?
MAISHA BILA UNAFKI HAYAENDI!
Kwani we si mvp Steph Curry?!!😂😂Hahahahah hata Mimi Nina dreams za kuipooza hii rangi yangu nyeusi ""tiii" niliyonayo kwa mzungu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app