Mke wa Dr Dre, Nicole Young aomba talaka

Simpsons fvcked up,Tiger Woods fvcked up,Kobe Bryant dead,Ice T fvcked up,Dre shitting on himself now,etc

Hua sielewi inakuaje unashindwa kuoa a human being who looks like you,I really dont get it!
Mhh hapa bongo tu huoni watu wanataka kuoa mwanamke mweupe/maji ya kunde lakini wao weusi
Ubaguzi hautakaa uishe
 
Mhh hapa bongo tu huoni watu wanataka kuoa mwanamke mweupe/maji ya kunde lakini wao weusi
Ubaguzi hautakaa uishe
Ha ha ha wkt mwngne haijakaa sna kibaguzi ila ni preferences na ulpokulia....i remember myself nlkulia kitaa flan hv ambacho majiran wetu weng walkuwa wahindi na waarabu then nlpoanza kutaka ku date AKILI yngu ilikuwa inaona wanawake Bora ni wale...so image ile smtmz inasumbua flan hv
 
Km ndvyo basi let's put blame on those who are being sc...ed km mnyama Dre...kwanin hawaingii kwnye prenup b4 marital shackles then they let their niggers feeling sorry for them khaaaa
Uyo mwanamke wala sio golddigger..u cant pretend for 24 years...huwezi jua wana shida gani humo ndani ameona isiwe kesi
Wanawake huwa tunavumilia sana
Vitu ambavyo wanaume hawafikirii hata kuvumilia
 
Uyo mwanamke wala sio golddigger..u cant pretend for 24 years...huwezi jua wana shida gani humo ndani ameona isiwe kesi
Wanawake huwa tunavumilia sana
Vitu ambavyo wanaume hawafikirii hata kuvumilia
Aaaaa wapi bhana weeee nyie wapigaji vibaya mno
 
Uyo mwanamke wala sio golddigger..u cant pretend for 24 years...huwezi jua wana shida gani humo ndani ameona isiwe kesi
Wanawake huwa tunavumilia sana
Vitu ambavyo wanaume hawafikirii hata kuvumilia
Ha ha ha kweli huwez jua hwenda hta mnyama Dre akawa homo n bisexual mana huko Kuna tuhuma nyng ktka music industry kuwa fagg..s LGBGT wa kumwaga,Cent ashawah mtuhumu Diddy...
 
Hizi sheria ni adui wa wanaume, pasu kwa pasu ni too much. Wajameni tuwe makini na mambo ya kuchanya pesa na mahusiano siku zote mwisho wake ni mbaya.

Kwan issue ni kuchanga pesa mzee

Mwanamke ata km hajachangiaa sheria inampendelea
 
Sasa mwanamke si ndio kataka talaka yeye ndio ampe pesa mwanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…