Tunajua kuwa ni mtoto wa Kiongozi mwingine wa CHADEMA bwana Mtei
lakini mbona hatumwoni akifanya shughuli za kitaifa kama mkwe wa kiongozi wa upinzani ...yaani shughuli za akina mama?
Anajificha nini?
Mindhali Freeman ni public figure kama JK na mindhali anaweza kuwa rais wetu huko baadae si vibaya public na private life yake kuwa under scrutiny na bila kusahau what his wife has been up lately
We mke wa Makamba unamfahamu? na maanisha mama Januari umewahi muona akifanya kazi za kichama?
Mimi sijali kuhus mke wa Mbowe (Lilian Mtei). Hata akiamua kuhama na nchi ili pia asionekane sioni tatizo.
Tatizo ninaloliona ni la kwa nini Mbowe hajitokezi kujibu mengi yanayoisulubu CHADEMA??
Inakuwaje watumishi na wanachama maarufu/muhimu (Kafulila & Danda Juju) wanahama chama lakini mwenyekiti hajitokezi kutoa angalau tamko au kujibu maswali ya waandishi wa habari?
Mbowe kama anaogopa waandishi leo hii kwa mambo madogo madogo kiasi hiki, je anategemea kumuongoza nani?
Hapo lipo jambo mkuu anataka kutuambia lakini kama kawaida anazunguka ukutaTunajua kuwa ni mtoto wa Kiongozi mwingine wa CHADEMA bwana Mtei
lakini mbona hatumwoni akifanya shughuli za kitaifa kama mkwe wa kiongozi wa upinzani ...yaani shughuli za akina mama?
Anajificha nini?
Mindhali Freeman ni public figure kama JK na mindhali anaweza kuwa rais wetu huko baadae si vibaya public na private life yake kuwa under scrutiny na bila kusahau what his wife has been up lately
Mimi sijali kuhus mke wa Mbowe (Lilian Mtei). Hata akiamua kuhama na nchi ili pia asionekane sioni tatizo.
Tatizo ninaloliona ni la kwa nini Mbowe hajitokezi kujibu mengi yanayoisulubu CHADEMA??
Inakuwaje watumishi na wanachama maarufu/muhimu (Kafulila & Danda Juju) wanahama chama lakini mwenyekiti hajitokezi kutoa angalau tamko au kujibu maswali ya waandishi wa habari?
Mbowe kama anaogopa waandishi leo hii kwa mambo madogo madogo kiasi hiki, je anategemea kumuongoza nani?
Mimi sijali kuhus mke wa Mbowe (Lilian Mtei). Hata akiamua kuhama na nchi ili pia asionekane sioni tatizo.
Tatizo ninaloliona ni la kwa nini Mbowe hajitokezi kujibu mengi yanayoisulubu CHADEMA??
Inakuwaje watumishi na wanachama maarufu/muhimu (Kafulila & Danda Juju) wanahama chama lakini mwenyekiti hajitokezi kutoa angalau tamko au kujibu maswali ya waandishi wa habari?
Mbowe kama anaogopa waandishi leo hii kwa mambo madogo madogo kiasi hiki, je anategemea kumuongoza nani?
somi,
japo kwa upeo wako mdogo, nafuu umeona wazi kuwa, chadema ni ya wale wenye hisa kubwa (i.e. Wawekezaji wakubwa chamani), na pengine ndio maana zitto alizuiwa kuwa m'kiti.
wengine tulishasema haya siku nyingi kuwa, vijisenti vya mbowe na ndesamburo, wanayoipa chadema halafu wanarudi baadaye kinyume-nyume kukidai chadema wanapoona pesa ya ruzuku imeingia, inakifanya chadema kiwe chama cha kitumwa, kikabila na kisichoweza kujifanyia maamuzi binafsi billa ya hao, mbowe, mtei na ndesamburo, kuingiza pua zao. Sidhani kama hii ndiyo demokrasia na maendeleo watanzania wanayopigania.
chadema wanatakiwa wajikomboe kwanza kutoka kwenye huu ukabaila wa mbowe, mtei, ndesamburo & co., kabla ya kuomba watz rukhsa ya kutawala.
Aje na mkewe hapa, kwani yeye ni nani? hata uongozi wa kitongoji hana, mkewe anatuhusu nini sisi.wewe mbona hujaja na mke wako hapa
Tunajua kuwa ni mtoto wa Kiongozi mwingine wa CHADEMA bwana Mtei
lakini mbona hatumwoni akifanya shughuli za kitaifa kama mkwe wa kiongozi wa upinzani ...yaani shughuli za akina mama?
Anajificha nini?
Mindhali Freeman ni public figure kama JK na mindhali anaweza kuwa rais wetu huko baadae si vibaya public na private life yake kuwa under scrutiny na bila kusahau what his wife has been up lately
A.K.A Mwafrika wa Kike!.....