Mke wa GSM amemzawadia mume wake bonge la msikiti na private jet

Mke wa GSM amemzawadia mume wake bonge la msikiti na private jet

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Tutafute pesa aisee dunia haina huruma kwa mtu masikini hii yaani daa na tuangalie familia tunazo oa aisee wewe unaenda kuoa familia ya mwanamke ambaye kwao ni mkombozi wa familia kwamba siku wakiishiwa chakula au ada simu moja kwako unafikiri utatoboa hapo? Familia ya mkeo kutwa wakipishana kwenu mara mjomba,mara mtoto wa shangazi,mara mtoto wa dada yake Aisee hapo ndugu zangu hamna kutoboa hapo aisee

Oneni mwanaume mwenzetu amezawadiwa msikiti na private jet na mke wake siku ya kuzaliwa kwake sisi siku ya kuzaliwa tuna ambulia maneno ya shombo,matusi,kejeli,masimango, aisee sio poa kabisa.
 
Tutafute pesa aisee dunia haina huruma kwa mtu masikini hii yaani daa na tuangalie familia tunazo oa aisee wewe unaenda kuoa familia ya mwanamke ambaye kwao ni mkombozi wa familia kwamba siku wakiishiwa chakula au ada simu moja kwako unafikiri utatoboa hapo? Familia ya mkeo kutwa wakipishana kwenu mara mjomba,mara mtoto wa shangazi,mara mtoto wa dada yake Aisee hapo ndugu zangu hamna kutoboa hapo aisee

Oneni mwanaume mwenzetu amezawadiwa msikiti na private jet na mke wake siku ya kuzaliwa kwake sisi siku ya kuzaliwa tuna ambulia maneno ya shombo,matusi,kejeli,masimango, aisee sio poa kabisa.
Unavuna unachopanda (what goes around, comes around)
 
Tutafute pesa aisee dunia haina huruma kwa mtu masikini hii yaani daa na tuangalie familia tunazo oa aisee wewe unaenda kuoa familia ya mwanamke ambaye kwao ni mkombozi wa familia kwamba siku wakiishiwa chakula au ada simu moja kwako unafikiri utatoboa hapo? Familia ya mkeo kutwa wakipishana kwenu mara mjomba,mara mtoto wa shangazi,mara mtoto wa dada yake Aisee hapo ndugu zangu hamna kutoboa hapo aisee

Oneni mwanaume mwenzetu amezawadiwa msikiti na private jet na mke wake siku ya kuzaliwa kwake sisi siku ya kuzaliwa tuna ambulia maneno ya shombo,matusi,kejeli,masimango, aisee sio poa kabisa.
Una uhakika na unayozungumzia
 
Tutafute pesa aisee dunia haina huruma kwa mtu masikini hii yaani daa na tuangalie familia tunazo oa aisee wewe unaenda kuoa familia ya mwanamke ambaye kwao ni mkombozi wa familia kwamba siku wakiishiwa chakula au ada simu moja kwako unafikiri utatoboa hapo? Familia ya mkeo kutwa wakipishana kwenu mara mjomba,mara mtoto wa shangazi,mara mtoto wa dada yake Aisee hapo ndugu zangu hamna kutoboa hapo aisee

Oneni mwanaume mwenzetu amezawadiwa msikiti na private jet na mke wake siku ya kuzaliwa kwake sisi siku ya kuzaliwa tuna ambulia maneno ya shombo,matusi,kejeli,masimango, aisee sio poa kabisa.
Badookidogoj
hizi nyimboo zinakuhhsuuu

Tuonaneee mileleeeeee

Mbingun kuna makaò mazurii s anaa
 
...
 

Attachments

  • downloadfile-3.jpg
    downloadfile-3.jpg
    23.3 KB · Views: 2
  • downloadfile-3.jpg
    downloadfile-3.jpg
    23.3 KB · Views: 2
Maandiko yanasema utapewa wa kufanana naye
Wahenga walisema ndege wafananao huruka pamoja

Ukiwa majalala unapata majalala mwenzio chamsingi ni kukaza ili watoto wenu au wajukuu zenu waje kuzawadiana misikiti na private jet siku zao za kuzaliwa
 
Back
Top Bottom