yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,662
- 3,715
Kwa wanaume walioa kanuni iko hivi:
Kama mke hakupi sex ya kuridhisha, kusex mpaka alazimishwe.
Asubuhi anakuchungulia tu haamki mpaka ahakikishe tayari umevaa suruali unataka kuondoka ndo anakurupuka kitandani.
Huyo wala usihangaike we muache apauke tu, hafai kununuliwa hata chupi, muache kiatu akitembelee mpaka kitoboke ndo ufikirie kumnunulia kingine.
Huyo hajui kujigijigi ndo msingi wa ndoa.
Kama mke hakupi sex ya kuridhisha, kusex mpaka alazimishwe.
Asubuhi anakuchungulia tu haamki mpaka ahakikishe tayari umevaa suruali unataka kuondoka ndo anakurupuka kitandani.
Huyo wala usihangaike we muache apauke tu, hafai kununuliwa hata chupi, muache kiatu akitembelee mpaka kitoboke ndo ufikirie kumnunulia kingine.
Huyo hajui kujigijigi ndo msingi wa ndoa.