Mke wa jirani amenieleza mapungufu ya mumewe

Wewe huna mke halafu unataka kupangia watu jindi ya kuishi na wake zao?

Bure kabisa
 
Unaanzaje kukaa na mke wa mtu...kujadili mambo ya mumewe...sidhani kama unayo kazi ya kufanya nakushauri tafuta kazi ufanye...mambo ya wake za watu yatakuja kukusababishia majanga
Wewe itakuwa una matatizo ya akili.
 
JF kila mtu anajifanya anajua kudadavua hivi wewe una akili timamu kweli, hivi umesoma ukaelewa... Mtu kaanza kuongea mwenyewe sijamuuliza ulitaka nimuambiaje acha ufalor
 
Na wewe tafuta KAZI za kufanya acha kukaa na Wake za watu na kuongea umbea, wanaume wenzako wameoa na wanaenda kutafuta pesa, wewe unakaa home na kufanya usafi kwenye vyoo vya wapangaji wenzio. Stop 🛑 🚏
Dah! Hadi wewe kumbe nati pia hazikazi!!?
 
Wewe ni mwenyekiti wamtaa!!!?,balozi au ni afsa ustawi wa jamii?
Acha mazoea na wake za watu kabla hawajakuzibua mtaro..
MAWEED hadi wewe nilikuwa nakuona mwamba kumbe ubingwa huna mwanangu!!
 
Wadau karibu wote waliotangulia wamekushauri vizuri. Zingatia. Vinginevyo utakuja hapa na story ya kuumizwa.
Wote wapumbav tu, unanishauri kwa kitu gan kibaya nilichokifanya? Mtu kaanza kujiongesha ulitaka nimzibe mdomo? Mtu mwenye anaejitambua hawezi kutoa maoni nje ya key... Uzi ulikuwa na lengo la kuwaelekeza wana mnapofail nashangaa mnakuja kujifanya kunishauri achaeni ujuaji haya mambo sisi wengine wabobezi na huo ujuaji wenu ndo hufanya sisi tukasirike sasa turuke na mama watoto zenu.
 
Bora wewe mkuu umeelewa uzi unahitaji kitu gan
 
Huna akili kabisa mbwea wewe,,mwanaume zima umekaa kibarazan na mke wa mtu mnapiga umbea,,una tabia za kike bila shaka..

So unataka tukushaurije asa!!! stupid.
Kwenye uzi kuna mahali nimeandika tulikaa kibarazani wewe kondoo?
 
Ikiwa wewe ni muelewa basi ungeelewa ni kwanini nilijipokelesha simu nikaondoka... Sijaomba ushauri wa mtu maana hayo mnayojifanya kuyaongea ninyi me nina expirience kuliko mliojifunzia kwao, Uzi haukuwa na lengo la ninyi kunishauri bali mimi kuwaelimisha ninyi wanaume mnaojisahau
 
Na wewe tafuta KAZI za kufanya acha kukaa na Wake za watu na kuongea umbea, wanaume wenzako wameoa na wanaenda kutafuta pesa, wewe unakaa home na kufanya usafi kwenye vyoo vya wapangaji wenzio. Stop 🛑 🚏
Ninyi ndo wanaa ambao hamuwezi kucheka kwa kujiachia hamsumbui kichwa
 
Sawa mkuu be careful
Be Careful kawaandikie uliowazidi expirience ya maisha mkuu, mimi mkali wa hizi kazi. Wewe kama una mke fuata ushari wangu wa last line... Maana hao wanawake wakikutana na Wenzangu wasio wastaarabu mtasaidiwa sana
 
Be Careful kawaandikie uliowazidi expirience ya maisha mkuu, mimi mkali wa hizi kazi. Wewe kama una mke fuata ushari wangu wa last line... Maana hao wanawake wakikutana na Wenzangu wasio wastaarabu mtasaidiwa sana
Sawa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…