Mke wa jirani amenieleza mapungufu ya mumewe

Nikasrol Down labda nitaona picha nakuta olla
 
Hilo rinda umelilinda kwa muda mrefu sana. Kuwa makini lisije kutwaliwa kirahisi hivyo
 
Hilo rinda umelilinda kwa muda mrefu sana. Kuwa makini lisije kutwaliwa kirahisi hivyo
2Chainz soma uzi ujue unahitaji nini usipende kutoa maoni kwa mihemko ya maoni ya wengine Utakuja kushutukia Unavuja siku shauri yako
 
2Chainz soma uzi ujue unahitaji nini usipende kutoa maoni kwa mihemko ya maoni ya wengine Utakuja kushutukia Unavuja siku shauri yako
Kwahiyo umeshaanza kuvuja? Pole sana, jamaa sio mtu mzuri
 
Ungekuwa mbobezi usingepata hata fursa ya kufungua domo lako kwa uYo mama
 
Ungekuwa mbobezi usingepata hata fursa ya kufungua domo lako kwa uYo mama
Kaa kwa kutulia we mpuuzi umeshaelezwa acha mazoea na wake za wazi,utakuja kuminywa hizo kalio bila tozo
Umeficha ficha sana ufala wako hadi kwenye jina ila still bado wajanja code tunaifungua sawa Fara_King?
 
Kwa hiyo umekaa na mke wa mtu,mkimsengenya mhuni.SIO UNYAMA.
 
Mazoea kiasi sio mabaya... We goes with a limit.
Mwanaume hakatai ushauri bali anaufanyia kazi na ukweli unaumwa ila kuupokea na kuiplement mabadiliko ni vyema. Achana na mazoea na huyo bibie.
 
The golden chance never come twice, tumia opportunity pale uwezavo ndani ya uwezo wako maana hata wana nao huwa opportunity kama hzo haziwapiti hvhv

We funguka achana na habar za wana
We jamaa uko na pussified mind ..Heshimu Mke wa mwanaume mwenzako ukiona ,vyaelea vimeundwa
 
Mbinguni tutafika tumechoka,amini nawaambia msio kagua simu za Wapenzi wenu hata mkisema mnajiamini ukweli mnagongewa kichizi,na mnaoshika hamna Akili hata kidogo.
Yaani kifupi wanaume we are https://jamii.app/JFUserGuide*d
 
Ah bwana wee ulitakiwa mkula huyo shemeji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…