Nimueleweje huyu mke wa jirani yangu. Mimi nimeoa na pia familia zetu ziko karibu sana ila simuelewi jirani yangu. Siku hizi anavizia nikiwa natoka asubuhi akisikia gari anatoka getini na kuniletea either matunda au chochote kile. Wiki end hii kaniletea bukta eti anasema ya kulalia. Je nifanyeje nimwambie mke wangu?
Na baada ya vyoote amuambie mkewe amshukuru mke wa jirani kwa bukta ya kulalia.
Angekuwa na mke mwenye akili ndefu kama mie, namuambia 'jirani asante kwa bukta. Sie hulala bila nguo, so inanifaa mie wakati niko masika. Next time umpe bukta kubwa manake hizi hipsi na wowowo langu havienei'
Nimueleweje huyu mke wa jirani yangu. Mimi nimeoa na pia familia zetu ziko karibu sana ila simuelewi jirani yangu. Siku hizi anavizia nikiwa natoka asubuhi akisikia gari anatoka getini na kuniletea either matunda au chochote kile. Wiki end hii kaniletea bukta eti anasema ya kulalia. Je nifanyeje nimwambie mke wangu?
Shughulikaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!toba ya kitu gani? sio kosa langu kuzaliwa mwanaume..
ngoja waje wenye busara
mie hapa naona wote wawili mmevuta mneli na hamjui mwendako.
Wee mzawadie matoke.
Na wewe uepewa bukta unapokea? Halafu unajiuliza umwambie mkeo????? Loh.......
Ndio maana nasema wanaume wameisha wamebaki wavulana tu..
Mke wa mtu anakupa bukta..huwezi kuamua mwenyewe hadi uje JF?...lol!
Ndio maana nasema wanaume wameisha wamebaki wavulana tu..
Mke wa mtu anakupa bukta..huwezi kuamua mwenyewe hadi uje JF?...lol!