Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
- Thread starter
-
- #21
Karamagi alimwacha Kisa lini?. Mikwara na mbwembwe zote zile za kumpora John Mongela mke?. Kama ni kweli Kisa kaachwa na Karamagi hilo ni fundisho kubwa sana kwa Kisa, maana tamaa imemzidi mwanamke huyu. Alimkimbia John na watoto kwa kufuata mihela ya Karamagi.
Karamagi alimwacha Kisa lini?. Mikwara na mbwembwe zote zile za kumpora John Mongela mke?. Kama ni kweli Kisa kaachwa na Karamagi hilo ni fundisho kubwa sana kwa Kisa, maana tamaa imemzidi mwanamke huyu. Alimkimbia John na watoto kwa kufuata mihela ya Karamagi.
duh! kwa maneno mengine unasema "akome"...
Kwa ufupi ni zaidi ya akome, sasa sijui niseme nini naomba mnisaidie wana JF.
Kuchamba kwingi mwisho......................
Kisa ulivunja ndoa yako, ukaacha na watoto wadogo watatu sababu ya Fisadi Karamagi?. Wakati Karamagi anakutafuta na kukuambia uvunje ndoa yako ulijua kwamba Fisadi huyo ana mke na watoto kwa huyo mke wa kirusi. Kwanini ulifikiri kwako atatulia?, ama wewe unazo mbili?
Kwa ufupi ni zaidi ya akome, sasa sijui niseme nini naomba mnisaidie wana JF.
Kuchamba kwingi mwisho......................
Kisa ulivunja ndoa yako, ukaacha na watoto wadogo watatu sababu ya Fisadi Karamagi?. Wakati Karamagi anakutafuta na kukuambia uvunje ndoa yako ulijua kwamba Fisadi huyo ana mke na watoto kwa huyo mke wa kirusi. Kwanini ulifikiri kwako atatulia?, ama wewe unazo mbili?
OPTION 1...
HAWA KUNA JAMBO WANAFICHA!
KWELI KIKWETE USIJE KUTA ANATAKA KUANZA KUWAZUNGUKA!
Naona PASSPORT NDIYO WALIITAKA!
Ila inawezekana hawataki kumyang'anya Passport kwasababu ya issues za ufisadi kwani bado wanasubiri bunge!
Na wakati huo huo labda mama wa watu alikuwa kwenye mipango ya kutoroka!
Usije ukashangaa ROSTAM NA YEYE ANAPORWA PASSPORT KWA WIZI WA KUKU!
OPTION 2....
Inaweza pia kuwa ni mbinu ya kusafishana ili watu wawaonee huruma na kusema kama kweli hawa ni mafisadi ni kivipi wapore cheni.
Lolote lawezekana.
Tutajua tu.
Karamagi Ningekuwa Yeye Basi Hivi Visa!
Ila Ukiona Mwenzio Ananyolewa....
so what? Ever heard of kleptomaniacs? utajiri hauna maana huwezi kuiba...!Alishawaacha wote siku nyingi sana, ila ana mtoto na huyu mrusi anasoma kule NY kwenye shule ya private ya matajiri sana!
.......Yote msemayo yanawezekana ila tusubiri kesi itakapotajwa tena wenyekupata muda wakwenda Mahakamani waende kuifuatilia kwa kwaribu zaidi....
Wizi wa cheni yenye thamani 90000/- na simu ya 150,000/- hapa haijakaa sawa... yaani na mikataba yote ile tulio-sign london hatukupwewa ka-asante hata ya kilo 1 ili awatengenezee wake zake cheni za kueleweka!! Nahisi kuna vitu vimefichika hapa" Vita ya panzi furaha ya kunguru" waache walumbane ukweli utapatikana
Fisadi hachagui cha kuiba, kashafundihwa kwamba akikutana na madini ya aina yoyote basi aibe tu, si unaona kaiba GOLD chain?
Like husband, like WIFE, wote ni machori tu.