Mke wa kuoa

With wanawataka waalimu kwakuwa wanatabia hizi.
1. Si waongeaji sana wala
Walalamishi.
2. Wengi wao hawana makuu i .e
Hawapendi anasa
3. Wengi bado hawajaijua dunia ktk
Maisha ya starehe, kwakuwa
Walimaliza form four wakaenda
Straight chuo na kule ni mwendo
Wa maadili, so awe muislam au mkristo atakuwa mchaMungu tu.
4. Bado hawajatanuka kimawazo, ila
 
Ila wakiendelea name level za juu name kuamua kuchagua Courses kama za Utawala wanabadilika, MF kuwa wakali, waongeaji, msimamo sana nk
 
Natafuta mke wakuoa awe mwalimu anaye fanya kazi dar na awe mkazi wa mbeya,hata kama atakuwa anafanya kazi mbeya itakuwa vizuri.umri 19-23,awe mkristo kamili mwenye maadiri mema 0718601714

makanisani huko hawako mpaka hapa, kama Unamwamini Mungu muulize Mungu mke wangu yuko wapi mda wakuwa mwili mmoja umefika,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…