Mke wa mchuchu yuko busy kunitafutia mume - imekaaje hii

Hayo ya Mr Mhina ni ya mpito na hakuna litakaloongeza, 5 years you're kimada na u will continue to be one...Nenda kamwone Pedro kama anafaa mbwage Mhina, kama alikupenda kweli ataziba mdogo maana yeye pia anahusika coz amecheat kwa mkewe.

Zungumza na Mr Mhina kiutuuzima zaidi kama inabidi ustaafu kwenye chama hichi cha Kimada Forever.
 
Wagawie wote tu mr mhina na petro ila hakikisha hawagundui.
 
Kuhusu mume wa mtu wasikutishe hao kuna wanawake wenzio wanakubali kuolewa na mwanaume mwenye wake wa tatu na yeye anakuwa wa 4 itakuwa na wewe unajilia kisiri na unaheshimu ndoa yake?
 
Reactions: Sal

Ni mchuchu wa haja nini? Ukikubali ushaengeza watu wa kukuchunga katika hizo nyendo zako na mchumchu wako. Sasa unamwibia mmoja ukiunganishwa na Petro utakuwa unawaibia wawili, hiyo kazi sasa, wenye mali wawili kuwapiga chenga ni kazi kweli!
 
99.9% ya wanaume wa bongo wana nyumba ndogo na 85% ya wanawake ni nyumba ndogo za wanaume, you are among them. toa ushauri acha kujifanya mtakatifu wakati sio.


 
mi nakushauri piga chini Mr. mhina! .... anza life na petro!
 
Kumbe small house kibabu unaweza kuiita mchuchu eh? Asante kwa kuniongezea maujuzi.
Mjini kugumu sana,kha!
 
Kuhusu mume wa mtu wasikutishe hao kuna wanawake wenzio wanakubali kuolewa na mwanaume mwenye wake wa tatu na yeye anakuwa wa 4 itakuwa na wewe unajilia kisiri na unaheshimu ndoa yake?

Ushauri wako ni sawa na nguvu za giza, rudi kuzimu chini ya bahari iwe agent wa shetani.
 
nenda kutana na petro,kama he is your type then mkubalie.mr mchuchu anawaste your tyme for a matter of passing lust.mh
 
99.9% ya wanaume wa bongo wana nyumba ndogo na 85% ya wanawake ni nyumba ndogo za wanaume, you are among them. toa ushauri acha kujifanya mtakatifu wakati sio.

Pengine ni kati ya hao wachache waadilifu. Lakini hata asipokuwa muadilifu - si vibaya kutoa ushauri mzuri.
 
dah hii ni bonge la movie script....
yaani duh.....
 
sijui why but SAL naona unakuwa my favourite person soon lol
 
naamini unaelewa utendalo japo katika hali ya kawaida ni vyema ukawa a chako kuliko kutegemea cha mwingine japo inaonyesha msimamo wako ni kula cha mtu
 
heee ni wewe bana acha kutuzuga, mi naona mchukue huyo petro, sababu kila kitu mungu kampangia mtu daraja la kufikia palipokusudiwa,hao wote kina mchuchu na mkewe ndio walipangwa na Mungu labda ili ukutane na mumeo, chukua hiyo nafasi bwana mengine yatajiseti yenyewe
 
Kumbe ndio MABUZI yanavoitwa siku hizi i.e. MCHUCHU. Mwambie huyo rafiki yako kuwa huyo mke wa BUZI lake keshamshtukia. Tena inaonekana kamshtukia siku nyingi na hata huyo bibiye mwingine wa salon ana habari zote. Mwambie hata ile introduction aliyofanyiwa kwa mwenye BUZI haikuwa coincedence bali ilipangwa na mwenye BUZI na mwajiriwa wao. Kwa leo yangu ndiyo hayo tu.
 
99.9% ya wanaume wa bongo wana nyumba ndogo na 85% ya wanawake ni nyumba ndogo za wanaume, you are among them. toa ushauri acha kujifanya mtakatifu wakati sio.

Kumbe tusiokuwa na nyumba ndogo tupo wachache hivyo yaani asilimia 0.1 sikujua kabisa.
 
yaelekea ulizaliwa ili uwe nyumba ndogo (kidampa). Kwa hiyo endelea na profesheni yako. Usijidanganye kwamba utaweza kuwa mke wa ndoa wa mtu.
 
olewa haraka kama utampenda Petro, Mhina mtakuwa mnakumbushia tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…