jf ni zaidi ya uijuavyo......ngoja niendelee kupiga chabo....
wewe huwa unakumbushia kongosho?olewa haraka kama utampenda Petro, Mhina mtakuwa mnakumbushia tu.
wewe huwa unakumbushia kongosho?
olewa haraka kama utampenda Petro, Mhina mtakuwa mnakumbushia tu.
Kumbe ndio MABUZI yanavoitwa siku hizi i.e. MCHUCHU.
haaa apende wap? tena mtu wa dizain hii akiibiwa wake anawehuka km mbwa aliekosa chanjoWewe au rafiki. Acha mume wa mtu. Mtafute wako, tulia kwanza kama petro ni wako atakuja muda muafaka. Kama mumeo akiibiwa utapenda?
ha ha ha ha ha ha! NO STRING ATTACHED eeeeeeh!why not?
Kwa afya ya matumbo, mkumbushio suna babu eeh.
Mbona huridhiki? umekuwa ukitoka na bosi wako yaani mume wa dada yako leo hii tena na mume wa mtu tena huwa anakufuata hapo ofisini kwenu, huoni aibu? hadi mfanyakazi mwenzio huyo muhaya anakushangaa. achana na mume wa watu bana kuna vijana fresh hawajaoa utapata. ila sishangai mabinti wa kichaga mpo hivyo. utarogwa huyo mama katumia ustaarabu kufanya hivyo. utajuta ukiendeleza ubishi.