Mke wa mchungaji

Moyo_mkunjufu

New Member
Joined
Aug 9, 2017
Posts
4
Reaction score
0
Nimeamua kuokoka kwenye kanisa moja jirani na mtaani kwetu, sasa jumapili ya wiki iliyopita mchungaji alizungumzia masuala ya kuoteshwa, juzi tukiwa kwenye maombi nikatangaza nimeoteshwa mke wa mchungaji kanisani, nashangaa mchungaji kanipa suspension ya miaka tisa na nusu[emoji15] [emoji30] [emoji31] [emoji30]

Usife kabla hujazikwa
 
Bas sawa,jamaa yupo likizo njimwayamwaya hapa juu juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…