Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,680
SI,kama uko committed kwelikweli kwa mchumba wako endelea na msimamo wako!ingawaje inapaswa ujifunze gentle ways ya kudili na ushawishi huo!if u become a real gentleman wanawake wanakuelewa kwa urahisi sana na mwisho hujijengea heshima ambayo hukuondolea ushawishi toka kwao
Nadhani kubadilisha laini siyo suluhisho la kutatua tatizo, kinachotakiwa nikumueleza ukweli...
mfano mimi mwenyewe ktk kazi zangu za umc hupata ushawishi zaidi ya huo!wakati mwingine mwanamke anaku-approach kabisa!huwa namuambia mwanamke"mimi ni mc,kila weekend nakutana na warembo,kama kila anayependa kuwa nami ningemkubalia leo hii usingenikuta hai".basi mwanamke akitafakari hayo mwenyewe anatulia,na anaenda kuwaambia wenzake!na sifa za uadilifu zinasambaa,unajikuta husumbuliwi tena kwa vile jamii inakutambua wewe ni mwadilifu!
Nadhani kubadilisha laini siyo suluhisho la kutatua tatizo, kinachotakiwa nikumueleza ukweli...
Ivi haya maisha yalivyo magumu,nyie mnapata wapi muda wa kukaa chini na kutunga hadithi kama hizi?
mfano mimi mwenyewe ktk kazi zangu za umc hupata ushawishi zaidi ya huo!wakati mwingine mwanamke anaku-approach kabisa!huwa namuambia mwanamke"mimi ni mc,kila weekend nakutana na warembo,kama kila anayependa kuwa nami ningemkubalia leo hii usingenikuta hai".basi mwanamke akitafakari hayo mwenyewe anatulia,na anaenda kuwaambia wenzake!na sifa za uadilifu zinasambaa,unajikuta husumbuliwi tena kwa vile jamii inakutambua wewe ni mwadilifu!
SI umenipa tricky nzuri sana.
Nikikutana na Simba, nafumba macho nisimwone.
Vere ize.
Unatumia nguvu kubwa mno.... Sasa ndio nimeelewa kua you are in Love with her na washindwa mtoa akilini na somehow wamlaumu yeye kwa kukuweka hali hio.... Pole saana SI. Mapenzi hayana ADABU....
Mfumbie macho simba:wapita njia watashuhudia manyoya tu. Na watajua keshaliwa, Kongosho!
kukimbia kazi sana
bora niliwe tu.
Usipokubali kuliwa, huli.
Yaani yuko kwenye mateso kama yangu. Navyokupendaga wewe shemeji yangu we acha tu. Ila line ya simu sikubadilishii :lol: