Mke wa mtu mtamu bwana

Kweli jamani najua sana madhara yake ila mke wa mtu mtamu bwana. Kwanza ni nzuri kama wote mnaiba. Yani mwanaume kaoa na mwanamke kaolewa, yani mkikutana kwenye kuchakachua penzi utamu wake hauni kifani.


HaTA MKE WAKO MTAMU SANA KWA WATU WA NJE ,UKILA VYA WENZIO NA WEWE WALIWA VYAKO I SWEAR;;
 
Hakuna kuhonga, kununua beer, hotel analipa yeye, na bill zote ana-clear ....safi saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana mke wa mtu mtamu...
 
Mi nafikiri ukitaka kujua raha yake wewe unayetaka kumuibia mwenzako na wewe wakuibie. Ila mkuu nafikiri utakuwa umepata OH group asubuhi au ulilala maeneo yenye utata. Usirudie tena kupost ujinga
 

Elisante,

Nakubaliana na wewe kwamba mijadala mingine haina tija kabisa ukiwemo huu hapa. Ndo maana nashangaa sana kwa sababu nilitegemea watu wangepoteze tu badala ya kumrushia maneno makali mtoa mada, kitu ambacho kinaweza kutoa taswira tofauti. Hata hivyo haya mambo watu wanayafanya sana na ikiwezekana ni vizuri kuyaongea ili wale wanaoendekeza wajue hasa wanafanya kitu gani na jamii inawaonaje.

DC
 

Elisante,

Unadhani kukaa kimya (Ostrich Algorithm) kunasaidia nini jamii?

Wake za watu, as much as waume za watu, wanatembea nje, tena saaaana, bila kificho na hii tabia haiwezi kumalizwa na UKIMYA!!!
 

ha haaaaaaa, babu hapo kwenye red umenifurahisha sana................
 
asante halafu na wasiwasi na waliokimbia hii mada bora sie wasafi tuendelee kuchangia mwaya

Chauro,

Hayawezi kuisha. Siku yakisha ujue watu wote wamekuwa malaika na kwa maani hiyo dunia itakuwa imefika mwisho wa safari yake!
 
Acha kabisa huo ujinga wako huo ,alafu huoni aibu kuichafua JF kwa huo ujinga ulioandika humu. lete mambo ya msingi ya kuwajenga watanzania wenzako na si upumbavu kama huo humu. halafu jua kwamba ukizoea tabia hiyo mbaya ipo siku itakurudia. zoea tabia nzuri ili siku moja ikurudie upate manufaa kwenye maisha yako . yangu ni hayo tu kwa leo, WAKATI NDIYO Huu BADILIKA .
 
FP mbona unapotea hivyo? Anywayz salamu kutoka kwa Dena Amsi!

Bwana nipo tu, ni kubanwa na majukumu tu. Dena si ni mke wa mtu? ha haaaaaaaaaaaaa, nimepata picha kwa nini unatetea hoja....... all the best. Msalimu pia huyo Dena
 
Bwana nipo tu, ni kubanwa na majukumu tu. Dena si ni mke wa mtu? ha haaaaaaaaaaaaa, nimepata picha kwa nini unatetea hoja....... all the best. Msalimu pia huyo Dena


mmh...FP mbona ivi kama unamsuta BE wa watu jamani...is there something more that what meet mu eyes?
 
Una shida kiasi hiki?...

Hii ni kali...kama kweli watu wanawapenda wanawake walioolewa ili kulipiwa bili zao basi ni hatari. Ina maana kwamba wale wanawake wenye uwezo mdogo kifedha hawana tatizo kwa sababu wanaume watakuwa wanawakimbi? It cannot be true!
 
Bwana nipo tu, ni kubanwa na majukumu tu. Dena si ni mke wa mtu? ha haaaaaaaaaaaaa, nimepata picha kwa nini unatetea hoja....... all the best. Msalimu pia huyo Dena

FP taratibu bana! Sasa unamwaga kuku penye mchele mwingi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…