whitemoney
JF-Expert Member
- Nov 9, 2023
- 1,161
- 2,454
Anaanzaje kwenda kushtaki kwanza.Unajua ukimuingilia mgoni wako kinyume nyume akikushtaki unakula mvua za kutosha.
Kuna muda ambao Kipofu na anayeona huwa wanaona kitu kimoja " GIZA"Macho yenyewe hata hayaonekani,
Sijui hata hilo giza lenyewe aliwezaje kuliona!
Tafsiri ya Kipofu ni mtu mwenye matatizo ya kutokuona,Kuna muda ambao Kipofu na anayeona huwa wanaona kitu kimoja " GIZA"
Tunakutia kidonda Cha Ubongo na Moyo hakiwezi pona kamwe Hadi unakufaSaivi hawapigi, ni mwendo wa wese tu....tunu ya taifa inaenda na maji
Hakimu : mshtaki wa kesi namba AB1259F elezea jinsi tukio lilivyotokeaUnajua ukimuingilia mgoni wako kinyume nyume akikushtaki unakula mvua za kutosha.
😂Macho yenyewe hata hayaonekani,
Sijui hata hilo giza lenyewe aliwezaje kuliona!
Shida uwo ujasiri wa kwenda kushtakiUnajua ukimuingilia mgoni wako kinyume nyume akikushtaki unakula mvua za kutosha.
Noma sanaTunakutia kidonda Cha Ubongo na Moyo hakiwezi pona kamwe Hadi unakufa
Tafsiri ya Kipofu ni mtu mwenye matatizo ya kutokuona,
Sasa unaposema Kipofu anaona Giza,unakua hueleweki,
Kitendo cha kua na uwezo wa kuona kinahitaji usiwe kipofu,
Kipofu anaweza akahisi ila hawezi kuona.
Anaye piga miguu miwili, sija elewa hapo mzee🤔Utakuwa ni uzembe kutamani, maana una selection zote kuanzia bonge/mwembamba/mweupe/mrefu/mfupi/anayepiga miguu miwili ama mmoja.
Ushindwe wewe tu kutulia
Kama hukuielewa comment yangu hiyo uliyoiquote,ndio basi tena coz nimeelezea very clear.Shem kwani giza ni hisia mpaka kipofu ahisi?
Kuna pisi suala la Kitandani huwa ni kipaumbele, ndiyo hao wa miguu miwiliAnaye piga miguu miwili, sija elewa hapo mzee🤔
Mzee muhuni sanaKuna pisi suala la Kitandani huwa ni kipaumbele, ndiyo hao wa miguu miwili
Wale wa mguu mmoja ni wake ambao hawajishughulishi Kwa bed, yaani anakwambia maliza haraka nilale
Watu kwa sasa hawaogopi kwenda kula ugali wa bure kikubwa ameshakuvua vyeoUnajua ukimuingilia mgoni wako kinyume nyume akikushtaki unakula mvua za kutosha.
Ninahisi wakati comment hii naandika nilikuwa nimelewa Kiko zangu Mkuu 😜Mzee muhuni sana
izo ni ngumi izo, hii sura ya nani mbona haisomeki.