Mke wa Mwijaku apewe Maxi Mpia Nzengeli Tafadhali!

Mke wa Mwijaku apewe Maxi Mpia Nzengeli Tafadhali!

Kwani Mwijaku anasemaje Muda huu?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mwijaku tumuachie Kipanya tu wamalizane mahakamani mpaka akili zimkae sawa.

Mashabiki wa Yanga tunamfuata mke wa mwijaku au anakujaa mwenyeweeeeee kwa Ally Kamwe?
 
Mke wa kichaa ni kichaa, muacheni Max wetu tafadhali.

Nashauri mke wa Mwijaku apewe Mwananchi mwenzetu Nabii Tito.
Kwanza Max bado bikra, wasitske kumkongoroa kama walivyomkongoroa Aziz Ki
 
Back
Top Bottom