Mturutumbi255 JF-Expert Member Joined Jun 7, 2024 Posts 200 Reaction score 420 Aug 8, 2024 #1 Kwani Mwijaku anasemaje Muda huu? 🤣🤣🤣 Mwijaku tumuachie Kipanya tu wamalizane mahakamani mpaka akili zimkae sawa.
Kwani Mwijaku anasemaje Muda huu? 🤣🤣🤣 Mwijaku tumuachie Kipanya tu wamalizane mahakamani mpaka akili zimkae sawa.
Nifah JF-Expert Member Joined Feb 12, 2014 Posts 34,020 Reaction score 79,098 Aug 8, 2024 #4 Mke wa kichaa ni kichaa, muacheni Max wetu tafadhali. Nashauri mke wa Mwijaku apewe Mwananchi mwenzetu Nabii Tito.
Mke wa kichaa ni kichaa, muacheni Max wetu tafadhali. Nashauri mke wa Mwijaku apewe Mwananchi mwenzetu Nabii Tito.
Medecin JF-Expert Member Joined Nov 29, 2011 Posts 8,221 Reaction score 22,496 Aug 8, 2024 #5 Mwijaku ana UTI sugu atamuambukiza mchezaji wetu
Auto-Marvelt JF-Expert Member Joined Jul 13, 2019 Posts 1,653 Reaction score 3,336 Aug 8, 2024 #6 Kitu la Congo, limugudhe gudhe
K Kulwa Jilala JF-Expert Member Joined Sep 6, 2022 Posts 3,891 Reaction score 8,448 Aug 8, 2024 #7 Mturutumbi255 said: Kwani Mwijaku anasemaje Muda huu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mwijaku tumuachie Kipanya tu wamalizane mahakamani mpaka akili zimkae sawa. Click to expand... Mashabiki wa Yanga tunamfuata mke wa mwijaku au anakujaa mwenyeweeeeee kwa Ally Kamwe?
Mturutumbi255 said: Kwani Mwijaku anasemaje Muda huu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mwijaku tumuachie Kipanya tu wamalizane mahakamani mpaka akili zimkae sawa. Click to expand... Mashabiki wa Yanga tunamfuata mke wa mwijaku au anakujaa mwenyeweeeeee kwa Ally Kamwe?
PakiJinja JF-Expert Member Joined Jan 16, 2012 Posts 11,689 Reaction score 25,848 Aug 8, 2024 #8 Nifah said: Mke wa kichaa ni kichaa, muacheni Max wetu tafadhali. Nashauri mke wa Mwijaku apewe Mwananchi mwenzetu Nabii Tito. Click to expand... Kwanza Max bado bikra, wasitske kumkongoroa kama walivyomkongoroa Aziz Ki
Nifah said: Mke wa kichaa ni kichaa, muacheni Max wetu tafadhali. Nashauri mke wa Mwijaku apewe Mwananchi mwenzetu Nabii Tito. Click to expand... Kwanza Max bado bikra, wasitske kumkongoroa kama walivyomkongoroa Aziz Ki