Mke wa Rais, Mama Lucy Kibaki na Vibweka vyake

Hapa ulikuwa unamaanisha Mkuu wa Tz na Bashite. Kwa haya yanayoendelea Tz, Bashite huenda amevuka level ya mke wa ....
 
Mtoa mada ungemaliza kwa kusema tuombe Mungu yasije yakatukuta hapa kwetu....
 
Hadithi hii inatufundisha nini, mbona mama yetu J ni mpole sana na mwenye nidhamu ya hali ya juu.
 
Sasa ukikuta rais ndio amegeuzwa mke si utashangaa hahahahaha. Aiseeee wewe jamaa una lugha za mafunbo hatari
 
Oooooh jamaniiii oooooh fumbo wanasema mfumbie mjinga ila hapa atakua ni yuleee..
.
 
Mh aiseh! Huyo wa Call Me J mmemuonea. Kumbukeni pia kwamba aliishi kwa mzee wa 'standards and speed' akiwa rafiki wa mwanae, na pia ameishi kwa yule mgombea aliyetemwa. Na wa kwanza kumzawadia vyeo ni mstaafu wetu baba R1. Sasa sijui mnamaanisha nini.
 
Nafuta kauli yangu. Naona mambo yanaenda yakiongezwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…