She loves Me
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 809
- 939
Me niko vzr mpk leo ivuga hajui
Natamani kungekuwa na like zaidi ya moja nikupe... Ukiona mwanamke amekudharau ujue kuna sababu nyingi tu sio lazima achepuke.Mkuu zero IQ hivi leo mama yako akikuambia huyo unayemfahamu sio baba yako utafanyaje?
Asilimia kubwa ya wanawake hawana furaha kwenye ndoa zao, na wengi wanagongwa nje...linapokuja suala la kuua.., hapo inategemea na akili za mtu
Hao wanawake wa zamani sio wa miaka hiiMwanaume anaweza kuwa na wanawake 5 na mke asigundue wala kuhisi chochote..Ila mwanamke akiwa na mchepuko mmoja tu unaweza kuanza kuona tofauti..
Wanawake wengi kwenye swala la kuchepuka hawako vizuri..
[emoji3][emoji3][emoji3]Saint Ivuga ya kweli haya?Kumbe ww ndio Mrs Ivuga!!! Maskin ungejua bro anavyokuamin
Wa miaka hii wakoje???Hao wanawake wa zamani sio wa miaka hii
Acha uongo. Umeshuhudia wangapi waliouliwa?Wanawake wa kichagga haswa wa Rombo njooni mtupe ushuhuda wenu kwanini mnaua waume zenu kila kukicha. Je, hii ndiyo sababu?
😃😃😃 Dada heshima yakoHahahhaaaaa wengine tunachepuka kumalizia genye za usiku wa jana
Tukirudi home wepesiii hata kelele hamna
Sasa hapo nakuuaje?
Njia ipo. Jiunge chaputa..hv hamna njia nyingine ya kuwakwepa hawa wanaotupunguzia umri
[emoji2][emoji2][emoji2] Dada heshima yako
iko wapi hio mkuuNjia ipo. Jiunge chaputa..
Ni kweli, na ukute zote anajistreshisha kuhudumia kwanini asikufe mapema. Watuache..Hawa wanaume bwana wanauliwa na msururu wa papuchi wanatusingizia wake zao ndani
Subiri wenzako watakuambia. Nashindwa kuelewa unashindwa kuachana na kitu kinachokuletea matatizo kila kukichaiko wapi hio mkuu
hv hamna njia nyingine ya kuwakwepa hawa wanaotupunguzia umri
Acha uongo. Umeshuhudia wangapi waliouliwa?