Mke wako Akichepuka Jua kifo chako ki mlangoni pako

Mkuu zero IQ hivi leo mama yako akikuambia huyo unayemfahamu sio baba yako utafanyaje?

Asilimia kubwa ya wanawake hawana furaha kwenye ndoa zao, na wengi wanagongwa nje...linapokuja suala la kuua.., hapo inategemea na akili za mtu
Natamani kungekuwa na like zaidi ya moja nikupe... Ukiona mwanamke amekudharau ujue kuna sababu nyingi tu sio lazima achepuke.
Inaweza ikawa
1. Anajua unachepuka so anakuchukia
2. Anasikia maneno maneno ya watu so haoni umuhimu wa kukuheshimu
3. Labda anachepuka na mchepuko unamuonesha kuwa unampenda sana na unaweza kumuoa
4. Yupo busy kutafuta hela halaf mwanaume upo busy kuhonga michepuko yako
5. .....
 
Mwanaume anaweza kuwa na wanawake 5 na mke asigundue wala kuhisi chochote..Ila mwanamke akiwa na mchepuko mmoja tu unaweza kuanza kuona tofauti..

Wanawake wengi kwenye swala la kuchepuka hawako vizuri..
Hao wanawake wa zamani sio wa miaka hii
 
Hahahhaaaaa wengine tunachepuka kumalizia genye za usiku wa jana

Tukirudi home wepesiii hata kelele hamna

Sasa hapo nakuuaje?
 
Na ogopa sana mwanamke anae jua unachepuka na amekaa kimya na maisha yanaendelea unaweza taman kumuuliza hivi mke wangu unavunga au unajua kweli kama nachepuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…