Mke wangu akifika kileleni anazimia

Habari wana bodi
Mke wangu anatatzo tukifanya mapenz sasa akiwa ana kojoa waga anazimia na kutetemeka kama nusu saa ivi sielew nkimuuliza anasema waga anapata raha ya ajabuuu sasa sijui hili ni ttzo au
Hiyo ndio raha yake wala si ugonjwa
 
Ana ukwasa sanaa jitahid kucheza show mara kwa mara ili azoee la sivyo atapitiliza mazima mkuu hii ilishantokea bi shost aliganda kama dk 10 hiv hajielewi ila badae nikacheza show za mara kwa mara akatulia.
 
Inabidi uwe unamsaidia kuunogesha huo utamu na raha, ili mfaidi zaidi kwa pamoja.
 
Kuzimia ndo raha yake ww akizimia endelea kupiga mech,,, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uyo nae ana raha
 
Ebu leta mobile number yake tumpe msaada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…