Mke wangu alitembea na mume wa mtu, sijui nifanye nini

Hilo la kujiua ni uongo mtupu [emoji23][emoji23][emoji23] angekuwa anataka kufa mpaka umeenda kwa hubby wake ha ha ungekuta viti nje alikuwa anakusikilizia ukifika tu hapo nje anashika kisu, unazani kujiua kazi raaahisi !
 
Eti ukamnyanganya kisu .ulimnyanganya cha nn ?? Vijana wa ccm mnakera sana
 
Mrejesho?? Mkuu
 
Ulishaonywa sana huku Lakin hukusikia,beba msalaba wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…