Mke wangu alitembea na mume wa mtu, sijui nifanye nini

umefanya maamuzi ya kibabe sana,,,!! yaan ukishindwa kumuacha mwanamke kwa dhambi ya usaliti bas huyo utaishi nae milele
 
Wewe ni Mjinga

Ni Mjinga Kwa sababu, Umekubali machozi ya mwanamke Yakuhadae.


Niamin Mimi, Mwanamke atendapo uovu, Silaha yake yakwanza ni MACHOZI na vitisho vya kujiua


Yaan huyo Ungemfukuza Mara Moja, aende akajinyonge na kujiua mbele Kwa mbele ... Atajua mwenyewe !!



Ninarudia, Mfukuze huyo Mwanamke Bila huruma , Hastahili msamaha !!...


Kakudharau namna gan?? Hata km ni kutombwaa ndio mpaka majumba bovu??? Vichochoron??sawa kutombwa ni kutombwaa ndio MPAKA MAJIRAN WAJUE !! yaaan alikua anatombwaa akijua ameshakupa limbwata.
 
Ushauri wangu ni ule ule....wanawake wanapenda kishare mibolo so wala usiumize kichwa.
Mwanamke wako ukiwa unamgegeda. Akiondoka ni mali ya mwanaume yoyote mwenye hela
Hatari nanusu hio!
 
Ngoja niwahi Siti kwanza!! [emoji144] Kisha nisome nikiwa nimetulia
Nyuzi za hivi, sababu mnajua Ndio mnayoyafanya Kwa wapenzi na wanaume zenu !!


Huwa hamchangiii, mnajifanya kua neutral utasikia Wanawake wa JF mnasemaje


[emoji117]nasoma Komenti tuuu

[emoji117]Duuuuuuu

[emoji117]Komenti ziwe fupifupi
 
Nyuzi za hivi, sababu mnajua Ndio mnayoyafanya Kwa wapenzi na wanaume zenu !!


Huwa hamchangiii, mnajifanya kua neutral utasikia Wanawake wa JF mnasemaje


[emoji117]nasoma Komenti tuuu

[emoji117]Duuuuuuu

[emoji117]Komenti ziwe fupifupi
Sio kweli Mkuu!! Na huwezi kumpangia mtu cha kuandika asee!!
 
Nyuzi za hivi, sababu mnajua Ndio mnayoyafanya Kwa wapenzi na wanaume zenu !!


Huwa hamchangiii, mnajifanya kua neutral utasikia Wanawake wa JF mnasemaje


[emoji117]nasoma Komenti tuuu

[emoji117]Duuuuuuu

[emoji117]Komenti ziwe fupifupi
Sio kweli Mkuu!!
Kila mmoja na maisha yake na usipende kumpangia mtu cha kukomenti!!
 
Yaani comments za wanaume mnamuona huyo dada hafai wakati mpo wenye ndoa na michepuko kibao. Mwanaume malaya pia hafai😃😃😃😃😃..
Mtoa mada hujawahi kuchepuka?
Wanaume kuchepuka kwao ni halali… Ni madog hawa jamaa 🤣🤣🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Jitahidi kutunga tena.

Kuna missing kink
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…