Mke wangu amepata tatizo la kutoa harufu ukeni

Mke wangu amepata tatizo la kutoa harufu ukeni

Joined
May 29, 2020
Posts
11
Reaction score
54
Nimekaa naye kwa takribani miaka 12 sasa, ni msafi sana na sijawahi hisi harufu hiyo. Nikawa hadi napiga deki kuenjoy papuch sijawahi fanya hivi kwa mwanamke yeyote.

Nilipohamia mkoani kikazi nimeanza hisi hii harufu baada ya muda kidogo tangu nihamie mkoani kikazi, bado ni msafi kwa kiwango kile kile na hana mtoto mdogo wa kumuweka busy zaidi ya biashara zake binafsi za muda mrefu.

Hii kitu inanipa mawazo sana nimemuuliza hata yeye anasema hajui.

Nikaona niletee jukwani ingawa huwa kuna ushauri positive na negative but ntajua namna ya kuchuja.

Naombeni ushauri
 
Nimekaa naye kwa takribani miaka 12 sasa, ni msafi sana na sijawahi hisi harufu hiyo. Nikawa hadi napiga deki kuenjoy papuch sijawahi fanya hivi kwa mwanamke yeyote...
Atakuwa alichepuka na ameambukizwa ugonjwa. Pole sana maana unakula bacteria.
 
Maji lita 3 achanganye na apple vinegar anawie/kuchangia kila akienda chooni, aende pia hospitali akapime if inaendelea na utoko unaotoka sio wa kawaid
Mh wewe unanawia vinegar pia?
 
Iko hivi
K ya mwanamke akisex peku na mwanaume.mwingine shahawa huendelea kubakia ukeni hadi kufikia masaa 72 yaani siku tatu zikiwa hai kabisa na zinaweza kuleta madhara.ila baada ya hapo hufa sasa katika muda huo wanawake huwa wanatawaza tu juu ila ndani hawapagisi. Ukisex na mwanamke ametoka kugongwa ndani ya siku 3hadi5 K yake huwa na harufu mbaya kama kitu kimeoza hivii na kama mwanaume alosex naye ana maumbile makubwa zaidi yako utahis kabisa kama kuna tope huko ndani
So bila shaka wajuba wamekusaidia pole sana bro
 
Back
Top Bottom