Mke wangu amepata tatizo la kutoa harufu ukeni

Short and clear umegongewa na mtu ambaye yupo Aged kidogo,aliyekuwa na aina ya kaugonjwa Fulani,matured sperm zimemuingia huyo hata jasho lake haliko sawa kabisa,aachane na hicho kibabu kabisa tatizo hako kazee kana maneno matamu sana na tusenti na wameshikamana kwelikweli. •_• all the best friend.
 
Mwambie anywe mtindi

Hii hutokea, naona kuna watu wanakujaza upepo kachepuka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Maji lita 3 achanganye na apple vinegar anawie/kuchangia kila akienda chooni, aende pia hospitali akapime if inaendelea na utoko unaotoka sio wa kawaid

vinegar huku chini jamani[emoji22]
 
Harufu ina sababu yake. Ni vema kwenda hospitali kujiridhisha kama sababu ni bakteria wa ukeni au vinginevyo.
Mambo ya kugongewa ukiwa mbali sio kipaumbele kwa sasa kwani yapo na hayazuiliki kwa maneno.
 
Muhimu huna ukimwi bas tulia acha kupiga deki kwa sasa zitisha zoezi huku ukiendelea kumtafutia dawa
 
hilo deki unalopiga ndo chanzo..tafiti zinaonyesha kinywa ndio sehemu yenye bacteria wengi kuliko sehemu yoyote
 
Asee ni hatari ametoka kugonga mwanaume mwenzio,kisha nawe unaenda kupiga deki na domo lako utapata magonjwa ya koo Mkuu.

Ukitaka kuishi hapa Duniani kwa raha,achana na mambo ya kuoa-na utaishi miaka mingi.
Pole kwa kugongewa.
 
Duh tungekua tunawakimbia wake zetu basi
 
Ushauri muhimu kuliko yote ni kufika hospitali, asionane na general doctor bali daktari wa kina mama
 
Ukeni kunaweza kupata uambukizo wa
Fungal
Bacteria [emoji3083]
Protozoa
Hapo Cha kwanza ni kupima magonjwa ya zinaa kama hamna kunauwezekano maambukizo yapi locally tafuta dawa kama yenye molecule ya dequalinium chlorine kwani metronidazole ni nzuri ila current inapata resistance Kwa baadhi ya bacteria wa ukeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…