kinyamkela mahaba
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 1,178
- 1,596
Ndugu zangu kama kichwa kinavyojieleza, mama kijacho wangu ameanza kupata shida ya michirizi kiunoni na tumboni hivi karibuni.
Kwa mjuzi wa dawa tusaidiane katika hili tafadhali. Kabla sijafanya uamuzi wa kutafuta dawa pharmacy nimeona nije huenda nitapata ABC's humu.
Nb;
Picha haina uhusiano na uzi
Kwa mjuzi wa dawa tusaidiane katika hili tafadhali. Kabla sijafanya uamuzi wa kutafuta dawa pharmacy nimeona nije huenda nitapata ABC's humu.
Nb;
Picha haina uhusiano na uzi