Mungu saidia waja wako ili wajitambue kuwa ili mwanamke apate mimba ni lazima wajamiiane, na uwafungue akili ili watambue kuwa kabla ya kuomba ushauri kama huu wangekuja kabla ili washauriwe kabla ya kuanza kujamiiana.
Ushauri mpeleke mkeo kwa madaktari bingwa wa maswala ya uzazi ili wakushauri jinsi ya kulea hiyo mimba, kwangu mimi tatizo si mimba tatizo ni huo upasuaji make sidhani kuwa hicho kidonda kitakua kimepona labda kama alifanyiwa upasuaji mdogo, wahi hospital ndugu kumnusuru mkeo na hadha nyingine.