Mke wangu amerudi nyumbani

Mke wangu amerudi nyumbani

Allan Rwego

Member
Joined
Jul 25, 2021
Posts
20
Reaction score
113
Kifupi tu naomba kumshukuru member mmoja alieniambia nimuombe Mungu,of which I did sababu nilitaka msaada wowote wa kurudisha familia yangu nyumbani baada ya upupu niliokosea.

Nikiri, nilimsumbua sana hata alipokuwa hajibu au anarudisha hela nilizokuwa namtumia. Ila humu ndani kuna ushauri wa kila aina kuna wengine wanweza kukufanya ukaharibu kabisa.

Member mmoja alinishauri niendelee kumtafuta na nilipambana mno kumtafuta

Jana nimewachukua nyumbani kwao rasmi. Leo nimeamka mapema kuwaandalia breakfast baada ya kumchosha sanaa waifu na game zitooo la kulikosa karibu mwezi mzima. Watoto wangu leo nina mipango nao kama yote mazee. Shukran

Lesson:
1. Kama kichwa nitailinda hii familia kama kichwa kwelikweli. Na nyie washauri wa ajabu sijui nikome aniache, hajaniacha sasa.

2. Mkikoseana sameaneni ni heri shetani unaemjua kuliko malaika usiemjua na ulieanza nae maliza nae.

Pia soma: Mke wangu hataki kunisamehe. Nifanyeje?
 
Unaonekana bado hujawa na uwezo wa kua baba wa familia, kua kichwa, you are not a man enough. Wewe ni mkia.

Na kwa mtindo ho huyo mwanamke atakua anakuacha mara kwa mara sana.

Halafu unajidanganya eti mkeo hajapata game mwezi mzima, nani kakudanganya?

Huyo mwanamke hakupendi ila wewe ndio unampenda sana. Atakupa shida sana. Inaonekana karudi sababu ya watoto na sio sababu anakupenda.

Expect the worsts.
 
Kifupi tu naomba kumshukuru member mmoja alieniambia nimuombe Mungu,of which I did sababu nilitaka msaada wowote wa kurudisha familia yangu nyumbani baada ya upupu niliokosea. Nikiri,nilimsumbua sana hata alipokuwa hajibu au anarudisha hela nilizokuwa namtumia. Ila humu ndani kuna ushauri wa kila aina kuna wengine wanweza kukufanya ukaharibu kabisa.

Member mmoja alinishauri niendelee kumtafuta na nilipambana mno kumtafuta

Jana nimewachukua nyumbani kwao rasmi. Leo nimeamka mapema kuwaandalia breakfast baada ya kumchosha sanaa waifu na game zitooo la kulikosa karibu mwezi mzima. Watoto wangu leo nina mipango nao kama yote mazee. Shukran

Lesson:
1. kama kichwa nitailinda hii familia kama kichwa kwelikweli. Na nyie washauri wa ajabu sijui nikome aniache,hajaniacha sasa

2. Mkikoseana sameaneni ni heri shetani unaemjua kuliko malaika usiemjua na ulieanza nae maliza nae
hya bhana ndo ujifunze asiondoke tena..
 
Unaonekana bado hujawa na uwezo wa kua baba wa familia, kua kichwa, you are not a man enough. Wewe ni mkia.

Na kwa mtindo ho huyo mwanamke atakua anakuacha mara kwa mara sana.

Halafu unajidanganya eti mkeo hajapata game mwezi mzima, nani kakudanganya?

Huyo mwanamke hakupendi ila wewe ndio unampenda sana. Atakupa shida sana. Inaonekana karudi sababu ya watoto na sio sababu anakupenda.

Expect the worsts.
Blaza kwa ulivyoandika una stress sanaaaa. Anipelekeshe tu fresh kabisa si watoto watanufaika.

Una roho mbaya kishenzy blaza eti hanipendi. Mimi ni sio wa ku bet bar na ku discuss mipira sio wa kuchukua tu ushauri bila kutathmini.

Maneno hayajawahi kuniumiza ila furaha yangu ni priority na yeye na madogo ni furaha yangu.

Hata kama amerudi sababu ya madogo,tuna AMANi bro yaani freshiiiii
 
Mkuu achana hizi sauti zitaabishazo

Focus on your marriage. Jenga ufalme wa Mungu duniani kupitia ndoa yako. Iheshimu ndoa, be a man be good. Mliapa wawili pale mbele. Miluzi mingi.....

Upendo ukaongezeke kwenu, nawatakia amani.

May the peace of God that SURPASSES ALL HUMAN UNDERSTANDING keep your heart and mind.

Dont look back, focus on your testimony. Kilichopatikana kwa maombi kinalindwa na maombi full stop.

#achananawatuwajf#
 
Hapo uko mwepesiiii!!! Baada ya kuondoa ugwadu wote wa mwezi mzima. Hongera Mkuu sasa TULIZANA. 😂😂😂

Kifupi tu naomba kumshukuru member mmoja alieniambia nimuombe Mungu,of which I did sababu nilitaka msaada wowote wa kurudisha familia yangu nyumbani baada ya upupu niliokosea.

Nikiri, nilimsumbua sana hata alipokuwa hajibu au anarudisha hela nilizokuwa namtumia. Ila humu ndani kuna ushauri wa kila aina kuna wengine wanweza kukufanya ukaharibu kabisa.

Member mmoja alinishauri niendelee kumtafuta na nilipambana mno kumtafuta

Jana nimewachukua nyumbani kwao rasmi. Leo nimeamka mapema kuwaandalia breakfast baada ya kumchosha sanaa waifu na game zitooo la kulikosa karibu mwezi mzima. Watoto wangu leo nina mipango nao kama yote mazee. Shukran

Lesson:
1. Kama kichwa nitailinda hii familia kama kichwa kwelikweli. Na nyie washauri wa ajabu sijui nikome aniache, hajaniacha sasa.

2. Mkikoseana sameaneni ni heri shetani unaemjua kuliko malaika usiemjua na ulieanza nae maliza nae.

Pia soma: Mke wangu hataki kunisamehe. Nifanyeje?
 
Unaonekana bado hujawa na uwezo wa kua baba wa familia, kua kichwa, you are not a man enough. Wewe ni mkia.

Na kwa mtindo ho huyo mwanamke atakua anakuacha mara kwa mara sana.

Halafu unajidanganya eti mkeo hajapata game mwezi mzima, nani kakudanganya?

Huyo mwanamke hakupendi ila wewe ndio unampenda sana. Atakupa shida sana. Inaonekana karudi sababu ya watoto na sio sababu anakupenda.

Expect the worsts.
We mwenzio toka mwanzo kasema yeye ndo chanzo cha mkewe kuondoka na amekuwa akimsumbua mkewe, we unageuka kuwa msemaji wa moyo wa mkewe tena kwa hasira kabisa sa ulitaka waachane amuoe nan
 
Unaonekana bado hujawa na uwezo wa kua baba wa familia, kua kichwa, you are not a man enough. Wewe ni mkia.

Na kwa mtindo ho huyo mwanamke atakua anakuacha mara kwa mara sana.

Halafu unajidanganya eti mkeo hajapata game mwezi mzima, nani kakudanganya?

Huyo mwanamke hakupendi ila wewe ndio unampenda sana. Atakupa shida sana. Inaonekana karudi sababu ya watoto na sio sababu anakupenda.

Expect the worsts.
Wa ushauri wa hivi mara nyingi hawajaoa/kuolewa, anakurupuka tu anahisi kuachana ndo njia pekee ya kusolve migogoro ya ndoa kama anavoachana na boyfriend/girlfriend
 
Usiniambie umeacha michepuko kwa sababu hii ndogo ya kijinga hio ni nature yetu next time hushikwi Tena ushajifinza kutoka kwenye makosa yako
 
Kuwa makini Kaka mi ilibaki kidogo nimtombee rafk yangu mke wake.

Jamaa alikuwa Mzee WA michepuko sana na vpgo kwa mkewe sa mi shemeji mtu ndo kulikuwa kimbilio la mkewe kumtulza na kumuombea msamaha jamaa yangu

Kuna SKU jamaa alisafiri sa alinipa mzgo nimpelekee mkewe usku Ile nmetimba Shem tabasamu kama lote na mumewe aliniambia nilale kwake kwani huwa kuna vibaka sana sa ni vizuri nilale pale kwake atarudi kesho yake.

Yaani SKU iyo ni kama alikuwa anasubiri Tu nilianzshe anipe mbususu si mnajua tena wajita Wana kidole kinene na kubwa pale juu ya mbususu au bumunda

Yan mpk Saa name usku kagoma enda lala ilibidi ninyanyuke nitoke nje kisha niliporudi nikazama geto kulala hakukubali usku mwema yangu
 
Back
Top Bottom