Mke wangu ameshtukia kuwa nina viti maalum

KIMATIRA

Senior Member
Joined
Dec 3, 2015
Posts
184
Reaction score
144
Ushauri wenu unahitajika wadau,

Nilikuwa na kiti maalum mkoa tofauti na ninawasi, tulikuwa tumepeana nafasi na ni miaka kama nane tuko Pamoja ila juzi juzi wife aliiangalia cm yangu na kuamua kudeal nae mpaka akajua Kuna mahusiano ila hamjamjua.

Je nikiteme kiti maalum?

Je nimkoromee wife? Au nijifanye ----?
 
Utakiachaje wakati mda sio mrefu kinachukua mkopo ya gari milioni 90? Subiri umsaidie kuchagua gari.
 
Hapo mkuu hakuna jinsi ni kujitoa ufahamu tu waambie anayekupenda afight tu
 
Kama uzembe ni wako rudi class ukakariri kanuni za game. Kama ni kosa la mteule basi kajipa straight red. Mke wako usimguse hata kidogo kwani ni uzembe wenu.
 

Acha ufala wewe heshimu ndoa yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…