Mwanzo yanauma Lakini sio mpaka mieZi mitatu, mie Nilikua na tatizo Hilo Lakini mwezi wa kwanza nilipo kufungua, maziwa yakawa hayatoki, bibi akanisagia , uwatu, asali, pili pili manga, samli fresh, na vitu nyengine nime sahau.. Anasaga kila asubuhi unakula kikombe 1 cha kahawa kabla hujala chochote Lakini inataka moyo , inasafisha tumbo maziwa ndio yatatoka Lakini Hilo joto lake mwilini unaweza kusema unahoma....