Mke wangu ana ujauzito wa mwezi mmoja tuu lakini nanyooka

Mke wangu ana ujauzito wa mwezi mmoja tuu lakini nanyooka

Mwasapile

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2020
Posts
214
Reaction score
448
Hivi wadau ni sawa kwa mwanamke mwenye mimba ya mwezi mmoja kuanza uvivu na kuumwa umwa!!

Naona mwanamke wangu ananiletea vipengele sana yaani tangu tujue ana mimba basi kazi zote za ndani ndio hawezi tena….hapiki hafui hadeki…vitu vyote hivyo nafanya mimi. Mara ajitapishe mara aseme anasikia kizunguzungu mara agome kula.

Yaani ni kama wiki mbili sasa lakini nimeshanyooka. Game nanyimwa kwa kisingizio kuwa anajisikia vibaya

Ni kweli inakuwa ivi sometimes au ndio nanyooshwa!!?
 
Ivi wadau ni sawa kwa mwanamke mwenye mimba ya mwezi mmoja kuanza uvivu na kuumwa umwa!!
Naona mwanamke wangu ananiletea vipengele sana yaani tangu tujue ana mimba basi kazi zote za ndani ndio hawezi tena….hapiki hafui hadeki…vitu vyote hivyo nafanya mimi.
Mara ajitapishe mara aseme anasikia kizunguzungu mara agome kula.

Yaani ni kama wiki mbili sasa lakini nimeshanyooka.
Game nanyimwa kwa kisingizio kuwa anajisikia vibaya

Ni kweli inakuwa ivi sometimes au ndio nanyooshwa!!?
Mkuu, Wacha kulialia, tafuta mdada wa kazi
 
Hahahaaa wanawake wa kipindi hiki noumer, enzi zetu mama anatoka kulima anarudi nyumbani anaitiwa mkunga wa jadi anajifungua kama kawa kama dawa maisha yanaendelea na kumbuka katika miezi yote tisa hajawahi kulala ama kuacha kupiga mishe zake
 
Naona wewe ni under 17, naomba umpeleke kwao maana hakuna namna kama anajitapisha tapisha!
😁😁😁😁😁😁😁

Kwenye mimba nafikiri hakuna anayejitapisha tapisha wala kutema mate isipokuwa hilo huja automatically tu kutokana na mabadiliko anayopitia mjamzito hususani wakati wa first trimester. Kuwa mvumililivu msaidie kazi na siku tumbo likiwa kubwa karibu na kujifungua usisahau kumnyoa vuzi maana yeye hataweza kuliona vyema
 
Vumilia tu Mkuu. Na hapo hajaanza kutamani chipsi zinazouzwa masafa ya mbali. 😅😅
😂😂😂

Nimenunua Sana miguu ya kuku.

Kuna sehemu huku wanaita vilabuni kuna kuku wanapikwa kiswahili swahili hao ndo alikuwa akihitaji , ukinunua kuku apikwe vizuri Hali anasema wale wa uswahilini ndo wazuri.

Ni adventure ya kukumbuka Sana na bado inaendelea kwenye malezi .. the day namwona Mwanangu for the first time I shed tears of joy .. kama dk kumi hv , nilimpigia mama , Bibi , Dada kaka .. damn ... A Sunday to remember
 
😂😂😂

Nimenunua Sana miguu ya kuku.

Kuna sehemu huku wanaita vilabuni kuna kuku wanapikwa kiswahili swahili hao ndo alikuwa akihitaji , ukinunua kuku apikwe vizuri Hali anasema wale wa uswahilini ndo wazuri.

Ni adventure ya kukumbuka Sana na bado inaendelea kwenye malezi .. the day namwona Mwanangu for the first time I shed tears of joy .. kama dk kumi hv , nilimpigia mama , Bibi , Dada kaka .. damn ... A Sunday to remember
Umeonaee! Na saa ingine waeza dhania anaijifanyisha kumbe walaa.

Hivi vitu ni vya kupita tu hivyo ambavyo mwishowe huwa na furaha ya ajabu. Nadhani huyo Mkuu avumilie tu miezi tisa si mingi.
 
Hivi wadau ni sawa kwa mwanamke mwenye mimba ya mwezi mmoja kuanza uvivu na kuumwa umwa!!

Naona mwanamke wangu ananiletea vipengele sana yaani tangu tujue ana mimba basi kazi zote za ndani ndio hawezi tena….hapiki hafui hadeki…vitu vyote hivyo nafanya mimi. Mara ajitapishe mara aseme anasikia kizunguzungu mara agome kula.

Yaani ni kama wiki mbili sasa lakini nimeshanyooka. Game nanyimwa kwa kisingizio kuwa anajisikia vibaya

Ni kweli inakuwa ivi sometimes au ndio nanyooshwa!!?
Na bado miezi 8, ikifika mitatu atataka akijisaidie uwe unamtawaza pia.
 
Vumilia tu Mkuu sababu sidhani kama anapenda kuwa hivyo.

Na hapo hajaanza kutamani chipsi zinazouzwa masafa ya mbali.
Alafu pia ni namna ya kutengeneza strong bond btn mke na mume .. pia mzazi na mtoto.

Huyu chalii ananifahamu since day one ..

Huu uzi umenikumbusha mengi Sana ... Mitafaruku ya hapa na pale ..
Ugomvi ...

Furaha..
Kuangalia zile kicking , kujigeuza .

Yote ya yote mtoa nada avumilie ni kiumbe chake hicho
 
Umeonaee! Na saa ingine waeza dhania anaijifanyisha kumbe walaa.

Hivi vitu ni vya kupita tu hivyo ambavyo mwishowe huwa na furaha ya ajabu. Nadhani huyo Mkuu avumilie tu miezi tisa si mingi.
Yes avumilie mkuu mimi , pasaka nilifukuzwa ndani , nlichukua vitu vyangu nkasepa .. two days later napigiwa simu Rudi nyumbani ukwapi ... Nimefanya shughuli nyingi Sana mwanzoni niliona kero ila nashukuru Nilikuwa karibu sana na mama yangu kupitia simu kanitia moyo Sana .. na miezi tisa ikatimia.

Na Ili uone umuhimu wa kitu lazima ukipambanie ...

Naongea Sana ila nini ... Hakuna wa kuniambia chochote KWA mwanangu 😂😂😂😂 nampenda
 
Back
Top Bottom