MPELEKE HOSPITALI HARAKA SI KILA MAUMIVU KATIKA UJAUZITO NI VITU VYA KAWAIDA.Jamani kwema?
My wife wangu ana mimba ya mwezi mmoja na robo tatu, sasa tumbo linamkata sana pia anatapika na kichwa kugonga mno, najua kuwa hivi vitu ni vya kawaida kwa miezi mitatu ya mwanzo, ila je kuna namna ya kupunguza makali?
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana mkuu wangu.MPELEKE HOSPITALI HARAKA SI KILA MAUMIVU KATIKA UJAUZITO NI VITU VYA KAWAIDA.
NB: KUUMWA NA KICHWA NI DALILI AU TAARIFA KUWA KUNA TATIZO MWILINI!
Duuh hapo sasa umechapia.Kupunguza makali hapo nawashauri mkaifamyie abortion tu hamna namna
Thanks.Kamwoneni daktari..me nahisi yaweza kuwa ni HYPEREMESIS GRAVIDARUM..Google hicho kitu ukisome then umwangalie km anahizo dalili lkn kesho mpeleke hospitali..
Ugiligili
Kaitoeni tu
Kupunguza makali hapo nawashauri mkaifamyie abortion tu hamna namna
Ai wewe duuKupunguza makali hapo nawashauri mkaifamyie abortion tu hamna namna
[emoji39]