Mke wangu anachat na li mtu wanaitana "MY"

Hili ni neno wasichana hupenda kulitumia hasa kwa ma best zao kwa hiyo angalia uandishi wa hiyo text kujua kama anachat na mwanamke au mwanaume kisha chukua hatua.Usikae na kitu moyoni
 
Baba usikurupuke, endelea kufanya uchunguzi na jifanye hujui chochote ipo sku utajua ukweli.
 
[emoji23][emoji23]li mtu daah litakuwa linaandaa mazingira ya kumgegeda wife
 
Kama ni Mama joyce ndo ni mke wako me ni rafiki yake tuuh adi ofcin tunaitanaga hivyo hivyo
Usipanic broo
 
Hahaha.. kunywa maji kwanza mkuu....jifanye hujaona hiyo sms
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…