Mke wangu ananilazimisha nimcheat...

Mke wangu ananilazimisha nimcheat...

Bin Kisafuru

Senior Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
109
Reaction score
161
Kiukweli huwa simsaliti mke wangu tukiwa wote, labda akisafiri au mimi nikisafiri, (more than one week).
Shida ni kwamba hivi karibuni (karibia mwezi sasa) amekua akiniuliza hivi ushanicheat mara ngapi?, kwanza nkashtuka maana siy kawaida, nkamjibu sijawahi kukusaliti mke wangu (ni kweli kama tupo wote). Akaniambia ulimwengu wa sasa hakuna mwanaume asiyechepuka.......tukaongea ujinga ujinga mwingi then tukaenda kulala, (sikula mzigo siku hiyo, sikupewa na sikutaka pia)

Binafsi nahisi anataka/ashanisaliti.
Naomba ushauri wa kuyajenga na mke wangu maana nampenda sana.

Ila sijakaa nae kuongea kuhusu hiki kichangamoto.

Naomba kuwasilisha.
 
Kiukweli huwa simsaliti mke wangu tukiwa wote, labda akisafiri au mimi nikisafiri, (more than one week).
Shida ni kwamba hivi karibuni (karibia mwezi sasa) amekua akiniuliza hivi ushanicheat mara ngapi?, kwanza nkashtuka maana siy kawaida, nkamjibu sijawahi kukusaliti mke wangu (ni kweli kama tupo wote). Akaniambia ulimwengu wa sasa hakuna mwanaume asiyechepuka.......tukaongea ujinga ujinga mwingi then tukaenda kulala, (sikula mzigo siku hiyo, sikupewa na sikutaka pia)

Binafsi nahisi anataka/ashanisaliti.
Naomba ushauri wa kuyajenga na mke wangu maana nampenda sana.

Ila sijakaa nae kuongea kuhusu hiki kichangamoto.

Naomba kuwasilisha.
Hiyo inaitwa women self defense, ukiona mwanamke anakuuliza maswali kama hayo ujue yeye kafanya so anataka na wewe uwe umefanya Ili asi-feel guilty.

Kiufupi huyo amekusaliti, usimle kavukavu, kesho andaa safari ya kwenda kupima magonjwa ya zinaa, akikuonyesha reaction yoyote take note. Then utupe mrejesho.

Kuna asilimia kubwa alikuwa anagawa papuchi bila malipo.
 
Hilo swali ni la kawaida sana sikuhizi kwa wanawake kuuliza sio kwako tu.Haina maana anataka ucheat....hata uwe mwaminifu vip kwake hawezi kuamini kama hauchet....na hawa motivation, waongeaji ongeni wa mitandaoni kusema "hakuna mwanaume asiyekuwa na mwanamke mmoja " inawajenga wanawake wengi kuamini haiwezekani kwa mwanaume..

Hilo swali niliulizwa sana zamani kwa mwanamke kuniambia kwa dunia ya sasa Huwezi kutulia na mwanamke mmoja..
 
Hilo swali ni la kawaida sana sikuhizi kwa wanawake kuuliza sio kwako tu.Haina maana anataka ucheat....hata uwe mwaminifu vip kwake hawezi kuamini kama hauchet....na hawa motivation, waongeaji ongeni wa mitandaoni kusema "hakuna mwanaume asiyekuwa na mwanamke mmoja " inawajenga wanawake wengi kuamini haiwezekani kwa mwanaume..

Hilo swali niliulizwa sana zamani kwa mwanamke kuniambia kwa dunia ya sasa Huwezi kutulia na mwanamke mmoja..
Kweli kabisa nahisi umenielewa 100% Mkuu.
 
Hiyo inaitwa women self defense, ukiona mwanamke anakuuliza maswali kama hayo ujue yeye kafanya so anataka na wewe uwe umefanya Ili asi-feel guilty.

Kiufupi huyo amekusaliti, usimle kavukavu, kesho andaa safari ya kwenda kupima magonjwa ya zinaa, akikuonyesha reaction yoyote take note. Then utupe mrejesho.

Kuna asilimia kubwa alikuwa anagawa papuchi bila malipo.
Kuna watu waoga, jambo dogo tu utasikia kapime ugonjwa wa zinaa na ukimwi, watu tumechakata papuchi Hadi za wameza vidonge but tupo fresh. Nina watoto wa4 wamezaliwa salama na **** nimezipiga kavu mademu wanajaa coaster mbili.
 
Kuna watu waoga, jambo dogo tu utasikia kapime ugonjwa wa zinaa na ukimwi, watu tumechakata papuchi Hadi za wameza vidonge but tupo fresh. Nina watoto wa4 wamezaliwa salama na **** nimezipiga kavu mademu wanajaa coaster mbili.
Haya ni Maandiko ya mtu asiyekuwa na digrii yoyote kwenye masuala ya afya. Alafu linatupiga lecture sisi alafu kibaya zaidi anataka kunipiga lecture. Absolute madness.

Hujapata VVU kwasababu mbalimbali na mojawapo inawezekana kabisa hujakutana na mtu aliyepata maambukizi mapya au hujakutana na mtu ambaye anakula dawa za ARV bila mpangilio. Ukikutana na mtu anayefuatisha dose, probability ya wewe kuambukizwa inakuwa ndogo sana.

Don't ever write rubbish again.
 
Kiukweli huwa simsaliti mke wangu tukiwa wote, labda akisafiri au mimi nikisafiri, (more than one week).
Shida ni kwamba hivi karibuni (karibia mwezi sasa) amekua akiniuliza hivi ushanicheat mara ngapi?, kwanza nkashtuka maana siy kawaida, nkamjibu sijawahi kukusaliti mke wangu (ni kweli kama tupo wote). Akaniambia ulimwengu wa sasa hakuna mwanaume asiyechepuka.......tukaongea ujinga ujinga mwingi then tukaenda kulala, (sikula mzigo siku hiyo, sikupewa na sikutaka pia)

Binafsi nahisi anataka/ashanisaliti.
Naomba ushauri wa kuyajenga na mke wangu maana nampenda sana.

Ila sijakaa nae kuongea kuhusu hiki kichangamoto.

Naomba kuwasilisha.
Mkeo anataka ubao usume 1 -1 ..
 
Back
Top Bottom