Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
na kama alikuwa na nia ya kusomesha level ya mwisho kumsomesha mwanamke huwa ni cherehani sasa yeye kajitia ujuaji saivi unam-back firePole sana lea watoto huyo ukiona haeleweki piga chini vya kunyonga havina muda kama ni mtu mzima utanielewa ila kama unaenekeza mapenzi ujipange kuumia sana mkuu.
Kama familia yake ilishindwa kumsomesha ww ni nani ukajitoe hivyo cha msingi kama ulitaka awe mama wa watoto wako ungemuendeleza kwa upande mwingine sio kumsomesha mpe hata kabiashara ili akizingua unakata mrija mambo yanakua sio mengi
We hukuambiwa kwenye vikao vyetu kwamba level ya mwisho kumsomesha mwanamke ni cherehani?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaaWe hukuambiwa kwenye vikao vyetu kwamba level ya mwisho kumsomesha mwanamke ni cherehani?
Mwanamke msomi ni liability watu hawajui tu.Mliooa wasomi kazi mnayo[emoji16]
Duh😢Nilimkuta huyu mwanamke akiwa katika hali duni sana ya kimaisha, sina nia mbaya ya kutangaza shida zake kwaku hakuna anaemjua ila nikisema hali ngumu namaanisha ngumu, yani ile hata ya mlo mmoja shida, kifupi ni ufikara.
Nilipendwezwa na kua nibwatu wa kanisani na pia ni kiri kua huyu mwanamke ni mzuri, huenda kwa kipindi kile hakua anajua kua ni mzuri au shida zilimfanya awe humble.
Nilimkuta na baadhi ya changamoto kama maradhi mengine ni y aibu, nimemtibia benga kwa bega bila kumnyanyapaa, mpaka amepona. Kifupi nilijotoa moja kwa moja.
Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.
Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.
Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.
Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.
Nitakapodhibitisha amenisaliti, tutagawana tulichochuma kiroho safi kabisa, nili muendeleza kwa nia njema, yanayotokea ni maamuzi yake yeye mwenyewe.
Mungu anipe moyo wa kuhimili lolote litakalokuja.
Katika chaka kubwa ambalo binadamu tumeingizwa na dini ni ndoa..Nilimkuta huyu mwanamke akiwa katika hali duni sana ya kimaisha, sina nia mbaya ya kutangaza shida zake kwaku hakuna anaemjua ila nikisema hali ngumu namaanisha ngumu, yani ile hata ya mlo mmoja shida, kifupi ni ufikara.
Nilipendwezwa na kua nibwatu wa kanisani na pia ni kiri kua huyu mwanamke ni mzuri, huenda kwa kipindi kile hakua anajua kua ni mzuri au shida zilimfanya awe humble.
Nilimkuta na baadhi ya changamoto kama maradhi mengine ni y aibu, nimemtibia benga kwa bega bila kumnyanyapaa, mpaka amepona. Kifupi nilijotoa moja kwa moja.
Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.
Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.
Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.
Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.
Nitakapodhibitisha amenisaliti, tutagawana tulichochuma kiroho safi kabisa, nili muendeleza kwa nia njema, yanayotokea ni maamuzi yake yeye mwenyewe.
Mungu anipe moyo wa kuhimili lolote litakalokuja.
Swadakta Mzee.Makosa mawili hupaswi kuyafanya Kwa mwanamke na kama ukifanya jua ipo siku utajutia!
1. Kumuwezesha kiuchumi.
Kumtafutia kazi au kumuwezesha kiuchumi Kwa namna yoyote. Mwanamke akiwa stable kiuchumi unapoteza thamani kwake! Fanya unachoweza kumsaidia ila aendelee kuwa dependent kwako.
3. Usimsomeshe mwanamke!
Mwanamke hasomeshwi. Ukijitahidi sana kumsomesha mpeleke akasomee MAPISHI awe anakupikia Chakula home !
Sasa nyie endeleeni kujifanya mna mapenzi mengi mwisho wa siku mnakuja kulia Lia humu.
sister Tayana-wog ni kweli mwanaume akimpotezea mwanamke au akimkalia kimya mwanamke yeyote hata kama sio mke wake au girlfriend lazima imuume huyo mwanamke kwasababu anakosa attention yako?Duh😢
Sipendi Mimi haya mambo
Sijui tuna shida gani wanawake 🙌
Mpotezee Kwa muda,usiombe unyumba kabisa,piga kimya!
Naijua hiyo.Nilimkuta huyu mwanamke akiwa katika hali duni sana ya kimaisha, sina nia mbaya ya kutangaza shida zake kwaku hakuna anaemjua ila nikisema hali ngumu namaanisha ngumu, yani ile hata ya mlo mmoja shida, kifupi ni ufikara.
Nilipendwezwa na kua nibwatu wa kanisani na pia ni kiri kua huyu mwanamke ni mzuri, huenda kwa kipindi kile hakua anajua kua ni mzuri au shida zilimfanya awe humble.
Nilimkuta na baadhi ya changamoto kama maradhi mengine ni y aibu, nimemtibia benga kwa bega bila kumnyanyapaa, mpaka amepona. Kifupi nilijotoa moja kwa moja.
Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.
Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.
Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.
Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.
Nitakapodhibitisha amenisaliti, tutagawana tulichochuma kiroho safi kabisa, nili muendeleza kwa nia njema, yanayotokea ni maamuzi yake yeye mwenyewe.
Mungu anipe moyo wa kuhimili lolote litakalokuja.
Mwanaume wa kisasa ni specie ya mwanaume mjinga ambaye amedanganywa vingi kuhusu mwanamke na yeye akavipokea na kuamua kuishi navyo, moja wapo ni hili la kujiandaa kufa kabla ya mke wake bila kujua ina athari kubwa sana kwenye mfumo wa maisha yake.Huko pia anaweza anza kuwa busy na mafundi wenzie na wanaomuuzia vitambaa. Akaanza kurudi saa 8 usiku kisingizio amepewa order ya kushona nguo za harusi.
Mwanaume wa kisasa mwenye uelewa angependa siku akitangulia kuondoka duniani amwache mwanamke anayamudu mapambano ya maisha na elimu ndio itamsaidia.
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
RestartHiyo elimu fanya kama umetoa sadaka muache anza upya mapambano. Pole.
Lazima hakuna asiyependa attention,unless hakupendi,Hana time na wewe Tena!sister Tayana-wog ni kweli mwanaume akimpotezea mwanamke au akimkalia kimya mwanamke yeyote hata kama sio mke wake au girlfriend lazima imuume huyo mwanamke kwasababu anakosa attention yako?
Ndoa za hivi na mapito huww zinaashiria hatari kubwa, watu wakichokana ni mbaya sanaLazima hakuna asiyependa attention,unless hakupendi,Hana time na wewe Tena!
Lazima utasikia mtu anaanza kulalamika....
Asimuulize Chochote,ajali watt tu.
Naona hii ni kweli sister Tayana-wog wanawake nyie ni dhaifu sana mkikosa attention kwa mwanaume hata kwa mwanaume ambaye hauna uhusiano naole wa kimapenzi.Lazima hakuna asiyependa attention,unless hakupendi,Hana time na wewe Tena!
Lazima utasikia mtu anaanza kulalamika....
Asimuulize Chochote,ajali watt tu.
Bro..i think mwanamke ni kiumbe mzuri sana pale anapokosa options..Sasa wewe ulichokosea ni kumpa elimu ambayo imemfanya awe na options mbalimbali..Elimu mara nyingi humfanya mwanamke kuwa mwanaume jeuriNilimkuta huyu mwanamke akiwa katika hali duni sana ya kimaisha, sina nia mbaya ya kutangaza shida zake kwaku hakuna anaemjua ila nikisema hali ngumu namaanisha ngumu, yani ile hata ya mlo mmoja shida, kifupi ni ufikara.
Nilipendwezwa na kua nibwatu wa kanisani na pia ni kiri kua huyu mwanamke ni mzuri, huenda kwa kipindi kile hakua anajua kua ni mzuri au shida zilimfanya awe humble.
Nilimkuta na baadhi ya changamoto kama maradhi mengine ni y aibu, nimemtibia benga kwa bega bila kumnyanyapaa, mpaka amepona. Kifupi nilijotoa moja kwa moja.
Kosa nililofanya ambalo halikufaa kua kosa ni kumuendeleza kielimu, naona baada ya kutokatoka akaja gundua kua na yeye ni pisi kali miongoni mwa pisi kali.
Nilianza kupata unyumba kwa mbinde sana, mpaka nikaleta uzi humu.
Ila sasa ndugu zangu naona majivuno ya kujiona yeye matawi yanazidi. Ni kama vile mtu anaejiona ana option nyingi sana na kama vile mimi sio level zake.
Kwasasa naangalia watoto tu, niko tayari kwa lolote, mtu mwenye uwelewa mzuri ni baba ake tu, mama ake nao naona pia anampa kichwa mwanae.
Nitakapodhibitisha amenisaliti, tutagawana tulichochuma kiroho safi kabisa, nili muendeleza kwa nia njema, yanayotokea ni maamuzi yake yeye mwenyewe.
Mungu anipe moyo wa kuhimili lolote litakalokuja.