Mke wangu ananiletea Usuperstar


Kuna watu hasa wanawake hawanaga shukrani. Jiulize inapofikia lijimama lina mtoto wa miaka 25, maisha mazuri nyumba magari mashamba,maduka linahonga wanaume,hela linasomesha na lenyewe watoto wa mahawara,hatimae linabambwa likituma picha za utupu kwa mwanaume mwingine. Yaacheni yalivyo yanajijua yenyewe
 
Hii nzuri Afandeee.
 
Kuna namna tu naamini sisi wanawake inabidi tukae tu nyumbani kulea
Hapa utagundua kwa nini waarabu huo ujinga wa wanawake kusoma,sijui kuhamishwa kikazi,kwenda field hawanaga. Kuku akilala nje,huyo kwisha. Si kuku tena ni kwale.


Kwenye ule uzi wa maembe na tikitimaji,wamesemwa watasha na wabongo. Hakuna aliyetungua la mwarabu
 
Swali kwani nae kapata kazi baada kupata au mama wa nyumbani tu
 
Kuna namna tu naamini sisi wanawake inabidi tukae tu nyumbani kulea
Halafu ukishalea nani atakupa mahitaji ya muhimu, saivi maisha sio kama zamani ya mama zetu saivi maisha ni challenge maisha ni kupanda sio kushuka, unatafuta gari za kisasa unajenga nyumba zakisasa sio huyo tu ajenge hata wewe unaparangana unajenga hawa wanaodharau waume zao wao ndio wajinga waliwao . Hata ukiwa na mafanikio mume ni kama baba tena yule anayekupa everything.
 
It's a probability,
 
Yes sometimes hapo kwenye mahitaji muhimu ndiyo panapelekea mtu kuanza mambo ya kujitaftia otherwise maoni yangu ni hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…