Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
Hapo nimekusoma mkubwa.ngoja nipashe kisawa sawa ili nikifika nimtishie hata kumgeuza eti eeeeee?Kama una uwezo iba namba ya uyo Ex wake....mtafute mchimbe bonge la biti muulize kama ashawahi kutolewa malinda...mjambishe aswaaaa then mfuate mkeo naye mjambishe mwambie huoni hasara kuua mtu...mwambie utampoteza kwenye uso wa dunia uyo ex wake kma bomu lilopiga hiroshima kuwa hutaacha ata vumbi la kuzika
Bahati mbaya ukute hata hao watoto wote ni wa huyo x wake.....pole lkn kuwa mwanaume!Akili zangu zinanipeleka huko kwa zaidi ya 80% na ndiyo maana nafikiria kumpiga chini.ila nikiwaza watoto ndo nachanganyikiwa kabisa
Alishaenda hadi kwa wazazi...So sad jamani, kaa nae chini mueleze jinsi unavyoumia sababu ya Huyo ex wake
we kiongozi taratibuLakin sishangai maana wanaume wa dar lazima msaidiwe kugonga kidogo maana hizo biskut na chips haziwez kaz kabisa
Chunguza hao watoto... probably sio wakoTumefunga ndoa sasa yeye na mimi ni mwili mmoja,chake changu,changu chake nitaachaje kuchunguza?
Bata ukimchunguza sana huwezi kumla. Now you are paying for your jealousy! Pole sana. Hata wewe akianza kukuchunguza hawezi kukosa mapungufu. Kwa kifupi nakushauri achana na business ya kuchunguza simu ya mkeo kama huna kifua...Tumefunga ndoa sasa yeye na mimi ni mwili mmoja,chake changu,changu chake nitaachaje kuchunguza?
Hapo Utakuja kufa kwa pressure huyo mkeo Kuna vitu anamic toka kwa jamaa yake WA zaman na Kuna uwezakano jamaa keshachapa hebu chunguza kwa undani zaidi Ila kuwa na moyo msije mkagawana majengo ya serikalHabari zenu Ndugu zangu,jamaa na marafiki zangu.
Hoja iko hivi, nina mke ambaye nimedumu naye kwa mwaka karibu wa 10 na Mungu kanijalia watoto kadhaa.
Ki ukweli tunaishi vizuri mno.ni mnyenyekevu,msafi na ni mzuri mno.
Ila miaka miwili tu baada ya kumuoa nilibaini namba moja ambayo alikuwa haja isave ila ilikuwa ndiyo namba ambayo ilikuwa imepigwa mara nyingi sana.
Nilimbana mpaka akaja akakiri kuwa huyo ndiye aliyekuwa Ex boy friend wake.
Kidume nikampiga marufuku lakini ameendelea kuwasiliana naye mpaka mwezi uliopita Licha ya kufikisha mpaka kwa wazee mara kadhaa kwa sababu hiyo.
Sasa najua kuna wataalamu wa mambo ya mahusiano humu ambao mnaweza kunisaidia nifanyaje kwa sababu ki ukweli naelekea kuachana naye kwa sasa
Kwa wazazi wake yamefika mara 2 na kwa mahenga mara 2 lakini wapi?Alishaenda hadi kwa wazazi...
Nafanana nao lakiniHao watoto sijui kama wako au wa x pole ndugu
Nafanana nao sana tu,watu wanahuhudia hiloChunguza hao watoto... probably sio wako
Kifua ninacho kikubwa tu.jaribu kufikiria toka 2008 ndiyo jukwaani nakuja leo.nimevulia sanaBata ukimchunguza sana huwezi kumla. Now you are paying for your jealousy! Pole sana. Hata wewe akianza kukuchunguza hawezi kukosa mapungufu. Kwa kifupi nakushauri achana na business ya kuchunguza simu ya mkeo kama huna kifua...
Hakika wwe ni mchonganishi..................... Inabidi ukamatwe [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Mmeoana 10 years ago ila bado wanawasiliana mpaka leo? Hao watoto kadhaa waangalie vizuri bro
Namkataza sana ila sijawahi kumtwisha ngumi.labda nijaribuHivi kweeli unashindwa mkataza au??!! Jitafakari upya mkuu, kuna shida mahali na kuna uwezekano mkubwa mkeo sio mwaminifu