Uta Uta
JF-Expert Member
- Feb 2, 2016
- 3,740
- 8,751
Habari wanajamvi?
Katika ziàra zake akiwa Kanda ya Ziwa Mukulu alitoa agizo kwamba katika kipindi chake tufyatue tuwezavyo. Agizo hilo mimi nililipokea kwa furaha kwa mikono miwili, na nilipanga kuanzia leo hadi 2020 niwe nimemfyatulisha watoto 5, wanaume 3 na wakike 2. Ila mke wangu amepinga agizo hilo la ufyatuaji na kwamba anendelea na zoezi lake la uzazi wa mpango. Sasa kwa ukaidi huu wa agizo la mkulu umenifanya nifikirie mara mbili aidha nimtumbue au nimfanyeje
Katika ziàra zake akiwa Kanda ya Ziwa Mukulu alitoa agizo kwamba katika kipindi chake tufyatue tuwezavyo. Agizo hilo mimi nililipokea kwa furaha kwa mikono miwili, na nilipanga kuanzia leo hadi 2020 niwe nimemfyatulisha watoto 5, wanaume 3 na wakike 2. Ila mke wangu amepinga agizo hilo la ufyatuaji na kwamba anendelea na zoezi lake la uzazi wa mpango. Sasa kwa ukaidi huu wa agizo la mkulu umenifanya nifikirie mara mbili aidha nimtumbue au nimfanyeje