Mke wangu anastahili adhabu?

Chunia tuu mbona hata RAISI yanamtokea hayo lakini anauchuna tuu.
 
Mwambie ampotezee huyo boc na kama ni ofc ya serikali maanake hawez kumfukuza kaz kwa kosa la kumnyima.wala usimfanye chochote maana amekuwa mkweli na kakueleza situation ilivokuwa.
 
Tatizo kuna hulka imejengeka mwanamke ili kupata ajira lazima afungue mapaja...hii ni mbaya zaidi kwa kuwa baadhi ya wanawake imewaingia akilini na kujaribu kuitumia kama kigezo cha kupata ajira. Mie kuna kadenti cha UDSM kalikuja kuomba kazi baada ya kufanyanae interview kakachukua namba yangu baadae kakanitumia msg huku kakiniita handsome. Nilikakanya na kukapa ajira ili kukabadili mawazo machafu ya kifedhuli aliyoyajenga. Hakika ni kitendo cha kinyama na kikatili kumdhalilisha mwanamke kwa ajili ya ajira hivi leo akifanyiwa mtoto wako, mkeo kama huyo jamaa utajisikiaje ?.
 
Du sipati picha huyo boss alimkunjaje huyo mkeo,mimi kama mimi kosa la wife kupigwa nao na mtu mwingine, huwa sisamei kabisa hata aje nani hiyo ndio inakuwa imetoka,hiyo ni dharau ya hali ya juu sana.


tuko wengi mkuu......ahahahaahhaaaaaaaaaaaaaaaaa_ni kama ka mfumo dume lakn ndio ukweli wenyewe.
 

Umeuliza swali zuri sana,...
Kuna mdada aliniuliza swali kama hilo nami nikamjibu kwa kumrudishia swali.....baba ama mama yako wakifumaniwa unaona aibu ama sema uchungu sana nani kati yao akifumwa ugoni_akasema kwa mama......sasa hapo ndipo ilipolalia human nature,.....

Mwanaume anaweza oa wanawake zaidi ya mmoja lakn mwanamke kuolewa na wanaume zaidi ya mmoja ni haramu.period
 

Ameshindwa kuamua mwenyewe so anakuomba ushauri ampe adhabu gani?
 

Hii ndio imenihuzunisha kupita maelezo!
 
Makosa mengine kusamehe ni kujidanganya.Kama ni mimi na nimejiridhisha pasi na shaka kwamba jambo hilo limefanyika hatua nitakayochukua ni kuvunja ndoa FULL STOP!Kwani kitu gani bwana,ilisambaratika URUSI sembuse ndoa ya watu wawili!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…