Hilo tatizo nalo lipo dadaMwambie mke wako atatue tatizo la m'ba kichwani kabla hajaanza kuangaikia tatizo la chunusi..
Akimaliza kutatua tatizo la m'ba kichwani automatically chunusi zinaisha zenyewe..
Mtafutie dawa inaitwa Persol 2.5Habarini Wana Jf
Mke wangu anasumbuliwa na chunusi za uso zisizoisha ametumia lotion nyingi bila mafanikio naomba mnishauri atumie nini?
Mhmhm[emoji849][emoji849]Chunusi zinazidisha mwanamke kuwa Hot hasa zile nyeusi Nyeusi.
Hiyo emoj ya 🙄 uwa inanichekesha kinyamaMhmhm[emoji849][emoji849]
Kifuani na mgongoni pia zipo?
Labda nieleze Kibiriti Upele ni nini?! Ndio naambiwa na wewe Kibiriti Upele, sijawahi kuskia wala kuona.Sulphur powder ndio kibiriti upele????
Ni unga/chenga flani hivi, zina rangi kama njano, mara nyingi zinauzwa na wale wanaouza sumu za panya n.kLabda nieleze Kibiriti Upele ni nini?! Ndio naambiwa na wewe Kibiriti Upele, sijawahi kuskia wala kuona.
Sulphur Powder ni Solid State unga fulani hivi umetokea mara nyingi katika kemia elimu ya vitendo shule za sekondari unamuonekano wa rangi ya Aqua lakini mtaala na waalimu hudanganya ni rangi ya kijani.
Kiukweli sifahamu, binafsi nafahamu Sulphur (Powder) ni unga state yenye Aqua Color (Pale Green). Kwa KiSwahili sifahamu inatambuliwa vipi.Ni unga/chenga flani hivi, zina rangi kama njano, mara nyingi zinauzwa na wale wanaouza sumu za panya n.k
Mi nilikuaga nazo ila nikiwa kwenye 24th ziliisha
Sawa kama ni usoni tu, atumie hizi dawa za kupaka kama persol gel, gentrosome au cream yeyote yenye benzoyl, lkn kama zitashindwa kumsaidia basi atumie dawa za kumeza ambazo ndo soln ya kudumu, dawa hizo ni isostretinoin na dox kila siku kidonge kimoja kwa Muda wa miezi 6 mfululizo bila kukatisha siku hata moja!!
Ana kunywa soda sana? Kama anakunywa mwambie aache.Habarini Wana Jf
Mke wangu anasumbuliwa na chunusi za uso zisizoisha ametumia lotion nyingi bila mafanikio naomba mnishauri atumie nini?
Achana na hizi dawa wanazo kuambia zinaondoa chunusi hakuna dawa ya chunusi mwambie anyoe hizo nywele na awe anatumia sabuni za kawaida hizo m'bwa ndiyo zinazo mletea chunusi usoni
Nina ngozi yenye mafuta. Natumia wix face cream. Sijajutia. Ila nashauri utumie na scrub ya wix pia, au scrub ya sea salt, kahawa au yenye mchanganyiko wa vyote viwili.......Hujanijibu Nilichouliza. Sad
Achana na hizi dawa wanazo kuambia zinaondoa chunusi hakuna dawa ya chunusi mwambie anyoe hizo nywele na awe anatumia sabuni za kawaida hizo m'bwa ndiyo zinazo mletea chunusi usoni
Sulpher wanauza wale jamaa wanaotembeza dawa na sumu mbali mbali wao wanaita tu 'dawa ya mba' kwa Kiswahili sijui pia wanaitaje.Kiukweli sifahamu, binafsi nafahamu Sulphur (Powder) ni unga state yenye Aqua Color (Pale Green). Kwa KiSwahili sifahamu inatambuliwa vipi.
cc. Chaliifrancisco gasgas